Umenisikitisha zaidi, yaani badala ya kuchangia mada tajwa we unakosoa hesabu kwa rate alotumia wakati wewe umeshindwa hata kugoogle ukajua rate sahihi, unadhani hizo tfiti alizoandika mleta uzi angeshindwa kujua rate sahihi kwa wakati uliopo?
Mzee mbona hauko kibiashara? unataka kuuza magari lakini uko mvivu, kwani hayo magari LHD ni ya kuokota hapo unapoishi? Source magari anywhere in the world ambayo wateja wako hapa wanataka (RHD) sasa ukisema hapo unapoishi kuna LDH kana kwamba ili ufanye biashara ni lazima uuze ya aina hiyo tu...
Ninayo mengi ya kuandika ila kubwa zaidi ni kumshukuru mwenyezi Mungu kutupatia mtu aitwaye John Mnyika. Mdogo wangu we acha tu. Kila nikifikiri cha kuandika furaha na tumaini nililo nalo moyoni natetemeka na kusisimka. Mungu akulinde maana hawa si watu wa kawaida, wapo kwa ajili ya kuharibu...
Swali hapa ni je? Huyu mbunge mwigulu alichaguliwa na wananchi, na kama alichaguliwa hao waliomchagua hawajuti kwa kura zao? Na vipi mwenyekiti wake jk huwa anachukuliaje wabunge wa namna hii? Anyway mimi nashindwa kuelewa maana hata hao waliokuwa wanamsikiliza waliwezaje kuendelea na ujinga huo...
Wamekosa mtu mwingine sasa kama kawaida yao ni kucheza na akili za watu na safari hii wameona wakitumia udini itawasaidia. ila ushauri wangu ni kuacha musimamisha mtu maana si lazima sana. Na isitoshe huyo mcungaji ni mwanachama wao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.