Nahitaji binti mwenye sifa zifuatazo:
1. Mrefu but sio saana.
2. Blackbeauty, mweupe, maji ya kunde. awe na kashepu, si manyama uzembe.
3. Umri 18-24
4. Awe anajua maisha, so mtu wa kuwaza club na kujirusha all the the time.
5. Awe ameajiriwa au ni mtu wa mishemishe ili kuimarsha kipato...