Recent content by Jog69

  1. J

    Kimenuka: Wakurugenzi wa NSSF wasimamishwa kazi kupisha uchunguzi

    Mnyonge ataendele kunyanyasika tu....................
  2. J

    Azam TV yakanusha kukwepa kodi ya ongezeko la thamani(VAT)

    " Issue ya VAT tuwaachie TRA badala ya kurumbana mtandaoni"
  3. J

    Magufuli ni Rais bora wa pili tangu tupate uhuru

    " Ni mapema mno kusema lolote, ninapita"
  4. J

    Mdororo wa Uchumi: Landmark Hotels zabadilishwa kuwa hostel

    " Kuwafanya watu waishi maisha ya shida na dhiki kubwa ni ishara ya roho mbaya"
  5. J

    Dr. Mpango alalamika Wajapan kufanyia mkutano hotelini badala ya kumbi za serikali, wenyewe wamsuta

    " He does not have a PHD in VAT, that is why he can make mistakes on VAT"
  6. J

    Taarifa kamili kuhusu adhabu ya Dk. Mwaka na wenzake hii hapa kuhusu tiba mbadala na dawa asili

    "Je wagonjwa amabao wameshatibiwa na matabitu hao wanasemaje?, ni vizuri kuwasikiliza ili kuchukua maamuzi mazuri"
  7. J

    Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

    "Sukari imepanda Tanzania kwa sababu wachina wameongeza matumizi ya sukari hivyo bei ya sukari imeongezeka nchini china, kwa sababu wachina ni marafiki zetu, bei ya sukari haina budi kupanda nchini Tanzania............Mchumi"
  8. J

    Serikali ya Magufuli kutoza VAT kwenye "on transit goods" ni aibu na fedheha!

    " Mimi ninasikitishwa na maamuzi ya kukurupuka ambayo yana tugharimu sana. Hii VAT on transit goods haina tija hata kidogo bali ni hasara kubwa kwenye uchumi wetu kwa kuwa imesababisha mizigo kupungua kwa kiasi kikubwa bandarini, hivyo mapato ya TPA yameathirika, makampuni ya usafirishaji bidhaa...
  9. J

    Dr. Mpango alalamika Wajapan kufanyia mkutano hotelini badala ya kumbi za serikali, wenyewe wamsuta

    "We want leaders with a bigger picture thinking, I am very surprised to see our leaders are deliberately killing the private businesses through what they call cost cutting initiatives, this has very short term benefits and has got both short term and long term negative effects to our economy"...
  10. J

    Kikeke ambana Maalim Seif

    "Wanakijani wameshinda gori la mikono miwili na kila kona ya dunia wameliona"
  11. J

    Yameanza kutimia: Bandari kavu zalia kukosa mizigo

    Economy is very sensitive thing, any action which would have an economic effects should be taken with care, otherwise problems like these will happen which will have a multiplied negative effects on the economy
  12. J

    Magufuli didn’t ban all forms of politics...

    I think they are afraid of Lowasa, if they leave him freely politicizing then this might cost them as it was inside the CCM
  13. J

    Magufuli: Walioanza kulalamika hakuna pesa mifukoni ni wale waliozoea kupata pesa za burebure

    Sidhani kama watu wote wanaolalamika juu ya ugumu wa maisha ni wavivu na wajanja wajanja. Nadhani mkuu inabidi afanye uchunguzi wa kina juu ya hili ili aweze kupata sababu zote zinazoleta ugumu wa maisha tangia aingie madarakani then atowe conclusion.
  14. J

    Yaliyojiri ziara ya Rais Paul Kagame nchini Tanzania na Mwenyeji wake Rais Magufuli

    Kama mimi ningekuwa mshauri wa Magu ningemshauri aachane na biashara ya ndege. Kwa layman biashara ya ndege ni kitu kikubwa sana na cha kusifiwa - na faida kubwa sana. Lakini kwa mtu aliyemakini biashara ya ndege ni biashara hatari sana (high risk business because of its high operating leverage...
  15. J

    Watalii (wageni) zaidi ya elfu nane wakatisha safari zao kutokana na kodi

    "Tatizo ni kuwa na viongozi ambao awajawahi kuwa watalii"
Back
Top Bottom