Recent content by Joez

  1. Joez

    Namna ya kui trick express vpn ili upate kuitumia bila kulipia

    Nimekuelewa ila bado sijajua hayo maelezo ni jinsi ya kuitumia App ya Express VPN bure au ni jinsi ya kutumia Internet Bure?
  2. Joez

    Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

    Tatizo lipo kwenye namba 4 ..ilo tatizo linatokana na kuangalia picha za ngono...jitahidi kuwa mbali na hivyo kwa miezi mitatu na kuendelea utarud kwny hali ya kawaida.
  3. Joez

    Ushauri: Engene ya Toyota Allion (1NZ) inatetemeka ukiwasha aircondition

    Rotation huwa inasoma ngap wakat inatetemeka? Kwa engine ya 1Nz kama ukiwasha A/C rotation inakuwa chin ya 1 kuna uwezekano mkuwa gar limefanyiwa modifications kwny Air intake Pipe au imeshushwa silence kwa njia isiyosahihi
  4. Joez

    NISAHIHI KUBADILISHA OIL KWA KUFATA KILOMETERS?

    Nimekuwa nikijiuliza sana wengi wetu humu tunabadilisha Oil na spare nyingine za gar kwa kufata km ilizotembea je mfano Oil huwa inaendelea kufanya kaz hata gar isipokuwa kwny motion mfano kwny folen nk gar inapokuwa silence, Je kwann Oil ya gar isingekuwa inabadilishwa kwa kufata running time...
  5. Joez

    Gari ipi ndogo inayofaa kwa barabara za shambani

    Suzuki Escudo toleo la 1993 ni Ngumu sana znavumilia halizote pia fuel consumption yake ni nzur ingawa ikiwa manual inakuwa nzur zaid mimi ninayo huu mwaka wa 15 still bado inaenda shamban kama unavoiona pichan ni namba AAB 664
  6. Joez

    Petrol vs Diesel Cars

    Naombeni kujua katika Gar ndogo(kuanzia Tani 3 kushuka chini) ni ipi nzuri kati ya inayotumia Petrol au Diesel na ni kwann? tukiachana na factor ya fuel consuption.
  7. Joez

    Tumejiandaa vipi kukabiliana na magari ya ulimwengu wa sasa? Hakika tupo nyuma

    Ni sahihi kwan ukikaa vby safety belt utafungaje?
  8. Joez

    Tumejiandaa vipi kukabiliana na magari ya ulimwengu wa sasa? Hakika tupo nyuma

    Tatizo letu sisi mafundi wetu asilimia kubwa ni wale waliofel shulen how comes wakawa vzr?
  9. Joez

    How to block all ways for watching porn videos in android.

    Ilo swala sio rahisi kama wengi wanavyosema kuwa fanya mazoez au badilisha aina za sim au laa.....ile ni roho kamili kutoka kwa shetani huwez kushindananayo wewe hata siku moja hivi hujawah kujiuliza wale ma actors au ma actress ambao video zao znapostiwa na kuangaliwa bure kabisa je hela...
  10. Joez

    Watanzania wako obsessed na Kenya kuliko kinyume chake!

    Umeeleza vizuri sana, Na huo ndio Ukweli
  11. Joez

    Kuzuia Panya Kuingia katika Gari

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana
  12. Joez

    Kuzuia Panya Kuingia katika Gari

    Seriously?
  13. Joez

    Kuzuia Panya Kuingia katika Gari

    Nashukuru bt nimeweka saana still kila asubuh naona nyayo zao juu ya powder
  14. Joez

    Kuzuia Panya Kuingia katika Gari

    Paka kwenye engine anashindwa kutosha
Back
Top Bottom