Recent content by JOEL MAKWAIA

  1. J

    Lowassa aumbuka Pemba

    Rais wa nchi gani?
  2. J

    Vijana wasio na chama warudisha kadi za Chadema

    Hao lazima walikuwa na chama baada ya injili kuwaingia wakaamua kumkataa shetani na kazi zake zote.
  3. J

    Kuelekea uchaguzi mkuu: Wanasiasa chungeni ndimi zenu, Mungu hadhihakiwi

    Pumzika kwa amani Mch Mtikila ila tutaendelea kukumbuka kwa kusimamia kile unachokiamini.
  4. J

    Kifo cha CCM kimetimia

    Hiyo tathimini umeifanyia wapi?
  5. J

    CCM and UDASA, this is shameful

    Serikali mbili ndio habari ya mjini maana imetusaidia mambo mengi.
  6. J

    CCM and UDASA, this is shameful

    Hao akina Butiku mbona hawakuyazungumza mapungufu ya Muungano wakati wakiwa ktk uongozi wa nchi yetu? Kama waliuchezea ujana wao imeshakula kwao.
  7. J

    CCM and UDASA, this is shameful

    Hao cdm wanatafuta serikali iwe kwa uongo, maandamano hata kwa mabomu hivyo sishangai hizo hoja zao zisizokuwa na mashiko.
  8. J

    CCM and UDASA, this is shameful

    Ukweli utabaki pale pale ukawa hawana mashiko.
  9. J

    CCM and UDASA, this is shameful

    Mdahalo wa udasa unaonekana kuwa tatizo lakini mchakato majimboni wa Shabani Kisu ulikuwa sahihi. Nawapongeza udasa kwa kuaandaa mdahalo ambao umeendelea kutufungua macho juu ya ukawa.
  10. J

    UKAWA sisi ni Wenzenu: Rudini Bungeni

    Katiba mpya ya Watanzania itapatikana kwa ridhaa yetu wananchi na si ukawa maana hatua ya mwisho rasimu hiyo italetwa kwetu kwa ajili ya kuipigia kura.
  11. J

    UKAWA sisi ni Wenzenu: Rudini Bungeni

    Hata wasiporudi bungeni lazima katiba mpya itapatikana.
Back
Top Bottom