Mdahalo wa udasa unaonekana kuwa tatizo lakini mchakato majimboni wa Shabani Kisu ulikuwa sahihi. Nawapongeza udasa kwa kuaandaa mdahalo ambao umeendelea kutufungua macho juu ya ukawa.
Katiba mpya ya Watanzania itapatikana kwa ridhaa yetu wananchi na si ukawa maana hatua ya mwisho rasimu hiyo italetwa kwetu kwa ajili ya kuipigia kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.