Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,236
- 138,755
Jamani eeh tunaposema CCM Kanda ya Ziwa hali ni mbaya kuliko mnavyodhani.Kuna kundi dogo la vijana huku Mwanza wamekuja na maigizo.Katika mkutano wa kampeni kuna vijana walitambulishwa kama vijana wazelendo wasio na vyama,lakini wanaunga mabadiliko ya Magufuli.Ajabu katikati ya mkutano vijana hao hao walirudisha kadi za Chadema na kutangazwa kujitoa Chadema.Ni kama movie