Recent content by joehenry

  1. joehenry

    Mama wa mchumba wangu ananikuwadia kwa mdogo wake

    Tabia za Mama lazima mtoto wake wa kike atazirithi tu! Take note, utashukuru baadae!
  2. joehenry

    MWANGA: Wilaya ya kishamba zaidi katika mkoa wa Kilimanjaro

    Hii Wilaya nakumbuka kwenye miaka ya 90+ ndio ilikuwa inaongoza kwa kuwa na shule nyingi za Secondary kuliko Wilaya nyingine yoyote TZ. Ila pia nakubaliana na watoa hoja kwamba ni kati ya Wilaya chache TZ ambayo huwezi kukuta nyumba ya nyasi!!
  3. joehenry

    Mke wa mtu ananiganda

    Anayekula vya watu na vyake vitaliwa tu!!
  4. joehenry

    Ushauri: Mke wangu anapenda maisha ya matawi ya juu

    Inaonyesha since day one ulishaliendekeza hilo ndio maana kalizoea na kuacha hataacha
  5. joehenry

    Wapemba rekebisheni kiswahili

    Hahahaaaahahaaah duh hii kali!
  6. joehenry

    Mpenzi wangu namdai pesa. Sijui nifanyaje anilipe

    Ndio umeshalipwa kwa kwich kwich ....
  7. joehenry

    Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

    iPhone 6 nimehonga, mi natumia Huawei !!!
  8. joehenry

    Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

    Hajui anachokisema, angezijua asingethubutu !! Mbona hata hizo Samsung kuna zile za bei cheee na zina internet !!! Ana uhakika gani kuwa wote anaowasema wanatumia hizo anazosema !!!
  9. joehenry

    Stori ya Kusikitisha ya Kichina

    Umecheki eeeeh :-):-)
  10. joehenry

    Stori ya Kusikitisha ya Kichina

    ثنهيمبتصمسدذصنبهوكلهدصموةسكبد
  11. joehenry

    Wahudumu wa NMB acheni dharau, kumiliki smartphone isiwe kero

    Kweli NMB mnaboa sana tena sanaaaaa....... aaaah
Back
Top Bottom