Jina la mwalimu linajulikana duniani kabla hujazaliwa,ukisema UMELIKUZA,sio kweli ni kutafutwa SIFA za kijinga.
Ulikua ukiigiza sauti ya mwalimu,na sio labda ulifanana nae au vipi.
Waheshimu wenye jina lao,hawapendi unavyolitumia.
Kesho dangite alisema sitaki jina langu litumike Tanzania na...
Watu 87 kati ya 100,hawana kitu ni wategemezi mheshimiwa sana anashauri itengwe bajeti(waendelee kula)ili kujua kiwango cha umasikini!!!!
Idara ya takwimu, maendeleo ya jamii,mioango na uchumi,ofisi ya wk sera,wote hao hawajui kiwango cha umasikini!!!!!!
Sawa,tengeni bajeti.
Huwezi kujua ukubwa wa pori ulimo mpaka utoke nje ya pori,aliyekuambia wewe ni brotherman ni nani?aliyekuambia wewe ni handsome man ni nani? aliyekuambia crown ni ndinga pendwa ni nani?
Wasichana wengi Wana wasiwasi kuwa unaweza kuwa shoga.
Ikiwa mwenyewe hujiheshimu, kwanini unaamini unayo haki ya kuheshimiwa?Unafahamu maana ya utumishi wa UMMA?
Sisi Ndio UMMA,tunalipa Kodi,tozo ili mjilipe na kutokutenda haki Kwa wanaokulipia maisha yako?
Ikiwa unaona unatukanwa na kuingiliwa faragha,unaweza kujiuziru.
Hoja Ni Nini?
Ni virutubisho vilivyoongezwa?
Ni tupewe cash tununue Kwa wakulima wetu?
Ni usalama WA hicho chakula?
Kama hoja Ni virutubisho, waziri ansema ingekua Sawa viwekwe hapa nchini ili tuone!!
Hoja ya kipuuzi kabisa, serikali haina wataakam wa virutubisho?mamlaka za chakula,mkemia...
Haiti Ni mbali Sana ndege yetu itatumia mafuta mengi,tuwapelekee Sudan kusini na Congo pia.ndege yetu ikipiga round moja tu nshaaaaaaaa isharudi tunaikosha tunaipaki kivulini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.