Recent content by JOE SLOVO

  1. JOE SLOVO

    Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Wapo wa kike wanafanya bolt
  2. JOE SLOVO

    Naombeni msaada wenu kimawazo, pesa ama kazi ndugu zangu

    Inategemea na lindo mengine ukipata unaweza ukachanga hela ya pembeni kama watu wakipaki magari au pikipiki hukosi Malindo kama petrol station
  3. JOE SLOVO

    Kanisa katoliki Tanga mjini

    Kwa wewe hapo karibu ulizia njia ya kwenda deep sea
  4. JOE SLOVO

    Wasafi FM hili la kusoma kila habari kwa ushabiki mkalitazame

    Usomaji wao sio wa waledi wala havutii
  5. JOE SLOVO

    Barabara ya Mwendokasi kutoka Maktaba hadi Tegeta kuanza kujengwa, Ubungo Kimara kufumuliwa

    He utatuzi wa foleni ya Tazara mbona kimya Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
  6. JOE SLOVO

    Barabara ya Mwendokasi kutoka Maktaba hadi Tegeta kuanza kujengwa, Ubungo Kimara kufumuliwa

    Bomoa bomoa itakuwa sio ya kitoto Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
  7. JOE SLOVO

    Jiji la Dar us Salaama (Dar es Salaam) Tanzania kabla na baada ya mwaka 1868

    Je mji wa mbwamaji kwa dsm ya leo upo wapi? Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
  8. JOE SLOVO

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Caryn Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
  9. JOE SLOVO

    Mwanamke ajifungua ndani ya Boti ya Kilimanjaro V

    Inatakiwa huyo mtoto akifika umri wa kusafiri peke yake ni kupanda bure hivyo vyombo maisha yake yote
  10. JOE SLOVO

    Nimemfuma mke wangu akicheza kwenye kigodoro. Nimeumia sana

    K vant na diclopa kwa nini? Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
  11. JOE SLOVO

    Hivi ni nani aliekata mipaka ya nchi hizi?

    Mipaka ya nchi inatokana na Berlin conference na tawala zakifalme za wakati huo Kama ottoman na China kulikuwa na tawala zake kwa mfano Taiwan ilitawaliwa na tawala ya kichina iliyo pinduliwa China na kukimbilia taiwan
  12. JOE SLOVO

    Wake zetu msilalamike kuwa tunachepuka, ninyi ndio mnasababisha

    Sawa papuchi kwa mgao Ina maana hawana hamu au Kuna mahali wanazimalizia
  13. JOE SLOVO

    Mahusiano na huyu mwanamke siyaelewi kabisa, sielewi ananichukuliaje

    Nafikiri wanawake harufu ya dizeli na petrol Ina wachanganya sana
  14. JOE SLOVO

    Sio Uchawi, hii ndio mbinu wanayotumia wakinga kuteka biashara kwa spidi kali na mfanikio makubwa, mbinu rahisi ambayo kabila lolote linaweza kutumia

    Yaani Kuna tabia ya kukopeshana nila liba na wakinga wa kariakoo Wana wakopesha wa uyole,mbeya na tunduma ambao ni fresh toka makete na ambaye ataendelea vizuri anahamia dat
Back
Top Bottom