Mipaka ya nchi inatokana na Berlin conference na tawala zakifalme za wakati huo Kama ottoman na China kulikuwa na tawala zake kwa mfano Taiwan ilitawaliwa na tawala ya kichina iliyo pinduliwa China na kukimbilia taiwan
Yaani Kuna tabia ya kukopeshana nila liba na wakinga wa kariakoo Wana wakopesha wa uyole,mbeya na tunduma ambao ni fresh toka makete na ambaye ataendelea vizuri anahamia dat
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.