Mkuu umenena ukweli mtupu.vivutio vingi vya utalii bila maarifa ni bure.hao viongozi hasa hiki kitengo cha utalii hawajui wanachofanya.hivi wanafikiri hao watalii matajiri watamiminika kuja tz katika mazingira haya ya sasa?waanze kufikiria kuwapata kwanza hawa watalii wa kawaida ambao ni wanunuz...
Kazaliwa pachafu.kalelewa pachaf.kasomea pachafu.anapopaona kila siku...pachafu.huyo mtu unategemea atajua nini kuhusu usafi!?.watanzania ni wachafu.nafkiri kipindupindu si ugonjwa ni tabia
Nilifkiri mtu atakuja na ufumbuzi wa hiki kitu
Kila mtu anachofanya ni kulaumulaumu na kushangilia.tupeni ufumbuz nn kifanyike ili watu wasipende kua mashoga
Mwafrika kila siku anatumia gharama nyingi kujifanya aonekane tajiri.mzungu yeye anatumia gharama kubwa kurahisisha maisha.mwisho wa siku mwafrika anakua maskini na yule mzungu aliyejishusha anazidi kutajirika.pesa ya mwafrika inaishia kwa yuleyule mzungu
Tatizo la hii nchi ni sheria zilizopo hazilazimishi watu kuwa wasafi.angalia baadhi ya nchi za wenzetu huwezi ona mtu anachafua na asikamatwe.watanzania walazimishwe kuwa wasaf kwa kutunga sheria kali zitakazomfos mtu kuwa msafi kuanzia nyumbani kwake hadi sehemu nyingine za uma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.