nra2303
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 2,972
- 2,548
Kua makini mkuu,Dar ni kubwa sana! Ayo maji uku kwetu hatujawai kuyaona yanatiririka ovyo ovyo. Nadhani ungesema City Centre sio Dar es salaam! Kuna sehemu dar apa apa tunaishi km tupo mikoani tu,yaani maisha burudaani kabisa,hewa safi,maji fulu ya visima etc