Recent content by Jodari77

  1. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ikungi: Magufuli amuahidi Lissu kazi, amuambia aachane na Urais ambao hatashinda

    Watu walitaka kumuombea duwa Lisu serikali yako mulikstaa kwa tena kwa bunduki
  2. J

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari kuwasilisha petition UN

    Katika jambo linalo muumiza pasco katika moyo wake ni Zanzibar kuwa huru hawezi kujizuwiya utaiyona tu rangi yake Huyu jamaa sijiu tumemkosa nini maana ikitajwa zanzibar basi moyo wake unaumia
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ukweli haupingiki; Wazanzibar tunadhulumiwa na TANESCO kwa kuwekewa makato ya ziada kwenye umeme

    Tuta lalamika mpaka mutakapo tuachia tupumuwe maana nyie ndio munao lazimisha haya kila tukijipapatuwa munatuletea majeshi Kama musinge tufanyia vurugu kwenye uchaguzi basi wakati huu tungalikuwa tuna zungumza mengine maana ingalikuwa tusha wakimbia mbaali na munaanza tena kupanda maboti kuja...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kwa mwendo huu ninamhurumia Maalim Seif na CUF Zanzibar!

    Ukisema una muhurumia yy peke yake unakosea sema unatuhurumia tulio chaguwa. CUF kuwa ituongoze ZNZ Nayeye awe msimazi wetu
  5. J

    JamiiForums Tanzania Habari Njema Zenji: Juhudi za Mhe. Balozi Amina S. Ali zazaa matunda, TradeMark yamwaga madola!

    Assalaam Alaykum Wewe Pascal jina jengine unajita Pasco hili la Pasco ulifungua account kwa ajili ya kuandika mambo ya Zenj tu lakini naona yamekushinda Wewe kijana unachuki saana na Zenj inakuumiza saana kwenye moyo wako lakini kama imemshida Nyerere na ww na wenzako utaiyacha kama ilivyo...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Membe apinga kufutwa uchaguzi wote Zanzibar

    KAMA MUNASEMA TUNA KILA KITU CHETU ZNZ TUNA KATIBA YETU NA SHERIA ZETU KWANINI MUMEWACHUKUA MASHEHE WETU WA UAMSHO KAMA HAYAWAHUSU WAACHIENI HARAKA MASHEHE WETU MUFANYA UJANJA UJANJA TU MBONA MUMEWAKAMATA TENA HAMUWATENDEI HAKI SASA MUMEWASHIKA KWA SHERIA GANI NA YA ZNZ SIO YENU
  7. J

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Mimi naona hata vyama vimo Ukiwa mwanachama wa chama kikuu unapatakazi japo has na vigezo Naukiwa chama chengine hupati kazi hatakama unavigezo vyote na hasa nafasi za juu
  8. J

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kwani Hilo bomba kaliziba au lina fanya kazi Coz inaweza kuke ha kwenye maji meli zikapita chini
Back
Top Bottom