Kama ilivyo ID yako you are a choosen one.Wewe ni kiongozi wa familia yenu katika ulimwengu wa roho.Wewe ni lango (Spiritual gate) katika ulimwengu wa roho,wewe ni watchman.Familia yenu/(Kaka yako)wanakutegemea anointing yako.
Reference Mwanzo 32, Yakobo alipigana na Malaika.Katika ndoto yako...
Hatuwezi kuwa salama Tangayika imetekwa ,uchaguzi ulitekwa, jeshi limetekwa, wakati wa mauaji ya oktoba hospitali zilitekwa, vyuo vikuu vimetekwa hawawezi hata kufanya midahalo ya wazi wakizungumza wanatekwa,bunge limetekwa, vyombo vya habari vimetekwa na watu 10,000 wameuwawa na walipofanya...
Yaani kweli kabisa sisi watanganyika hatuna vita za udini, Wazee wetu walitulea hivyo.Shule za kikristo tumesoma na waisilamu pamoja, Hospitali za waislamu wakristo tumetibiwa bila ubaguzi na tunashirikiana katika shughuli zote za maendeleo ya jamii yetu.Vikundi vya vikoba mama zetu...
Kunahitajika mkakati wa namna ya kutatua hili tatizo.Kama ni askari wanafanya hivyo lengo lao ni kuwafanya raia waungane nao ili wawatafutie sababu za kuwadhuru.Tusikubali kuhamasishwa kufanya vurugu haya ni maandamano ya amani.
No she is not crazy, she is creating a legal ground to protect herself, tayari ana case Tanzania kwa hiyo anahitaji evidence of every mistreatment.Hiyo barua itamsaidia kwenye kesi yake na wanasheria watakaomsaidia.
Hii ndio sababu kubwa maridhiano hayawezi kufanyika na serikali ya samia.Wale ambao ni sauti ya wananchi mnawauwa, mnawateka, mnawatishia na kuwabambikizia kesi.Masikio yao hayana uwezo wa kusikiliza ukweli.So insecured and triggered by the truth.Wanasema tuongelee amani, wakati tukiongea ukweli...
Dada Mange alisema baadhi ya wanajeshi wetu wamekuwa depressed and suicidal. It is not easy for those standing with justice. May the throne of justice give you strength!
Gen Mkunda you took an envelope,they took your voice, they took your strength, they took lives of your people, you lost your dignity.You sold your people with an envelope. Your envelope was a blood transaction. Augustino Polepole advised you to return the envelope. If another opportunity comes...
Wote waliofanikiwa kurekodi video ni mashujaa wa nchi yetu.Haikuwa rahisi kuchukua picha huku unakimbia kuokoa maisha yako.Bila hizi picha tusingekuwa na ushahidi wowote.Ndugu zetu waliouwawa wangepoteza haki zao.Hakika tunawashukuru, history will honor you.
Hiyo imani yetu na Polisi ilipotea oktoba 29 walivyowauwa ndugu zetu 10000.Watu hawakuwa na silaha yoyote mnawapiga risasi hatuwezi kuwaamini mikono yenu imejaa damu.Na mpaka sasa bado hamfuati sheria mnateka watu na kuwashikilia kinyume cha haki za binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.