Bank zoote zinaudumia wateja na pia kama Crdb bank ni bank inayoongoza na kutoa Huduma zake nyingii serikalini na imekua ikionyeshwa ata katika vyombo vya habari tukishuhudia ata jana tu walikua huko magereza sasa cha ajabu ata Rais wetu halioni hilo inasikitisha sanaa kwakweli. Ila crdb bank...
Me nachokiona cha msingi night kuwasiliana nao kupitia namba zao za call center upate msaada WA haraka kuliko kuita watu waje watoe ushahidi ambao hawako katika Hali kama yako kwasasa. Wanapatikana kwa namba 0714197700 , 0789197700 na 0222197700 kaka Sema nao usikie wengine tunaendelea kufurahia...
Crdb bank ni benki itoayo mikopo kwa riba nzuri na insurance ya mikopo yako ni hakika.Ata ikatokea ukapoteza maisha insurance Ile Italipa mikopo yako na Familia yako au ndugu kubaki salama bila deni.
MICHUZI BLOG: Benki ya CRDB imekanusha vikali habari kwamba imesimamisha mikopo kutokana na "hali tete ya uchumi wa nchi ".
MICHUZI BLOG: Benki ya CRDB imekanusha vikali habari kwamba imesimamisha mikopo kutokana na "hali tete ya uchumi wa nchi ".
Harakati za kuponda bila hoja zimeendelea kuwa big deal Tanzania yetu. Badala ya benki iliyokosa tenda ikaze ili next time ishinde, inakaza kwenye kuponda na kupotosha. Namna hii mshindi atabaki kuwa mshindi. Haya ndio mambo ya Debe tupu !!
Harakati za kuponda bila hoja zimeendelea kuwa big deal Tanzania yetu. Badala ya benki iliyokosa tenda ikaze ili next time ishinde, inakaza kwenye kuponda na kupotosha. Namna hii mshindi atabaki kuwa mshindi. Haya ndio mambo ya Debe tupu !!
Siku zoote mti wenye matunda mazuri hutupiwa mawe, CRDB ni bank inayojielewa mkurugenzi wao mkuu DR Kimei amefanya mambo mengi mazuri na makubwa yanayoonekana na kuhesabika.Ifikie wakati watanzania tujue kusifia na sio kuchafua tu..2016 uwe mwaka wakuongelea au kufanya mazuri na sio kuongea...
Siku zoote mti wenye matunda hutupiwa mawe.CRDB ni benki inayojielewa na mkurugenzi wao mkuu Dr Kimei kafanya mengi makubwaa tu yanayoonekana na kuhesabika..ifike wakati watanzania tuwe na mioyo yakusifia na sio kuchafua tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.