Hizo ni kampeni za kisiri siri zinaendelea ila ingekua ni viongozi wa chadema wenye hiyo kampeni inayoendelea tungeshasikia mabomu yakilia na polisi wangeshamwagwa wa kutosha.
unajua tatizo lenu uelewa wenu bado ni finyu coz mnaona kama wahalifu wote wa hii nchi na wanaotumikia vifungo jela ni wafuasi wa Chadema ndo maana yule jamaa alitoa ile kauli bila kufikiria kumbukeni kuwa kwa mantiki hiyo hata nyinyi mtapigwa 2 mkienda wrong coz hamna nembo za chama chenu usoni.
acha ushamba wewe kwani Chadema ikifanya mkutano wake bila kuingiliwa na polisi mauaji yatatokea wapi?? Au unamaanisha Chadema wakiandamana watu wanakufa automatically??? Nieleweshe hapo
Ukiwa akili yako inachaj sawasawa utagundua triki inayochezwa hapo yote hii ni ili itokee fujo tena huu uchaguzi uahirishwe wakuu hapa uchaguz hamna till 2015
Acha kushabikia ujinga wewe kuna mambo ya kujiulliza kuhusu ujio wa huyu mjamaa hapa Tz cyo tuone ni fahari kutembelewa na huyu jamaa, una uhakika haendi Kenya kwa ajili hiyo???
hujaielewa mada jamaa kataka kujua ni mapenz ya aina gani? Coz tusimlaumu pengine kweli hakua na pesa ila si angemwambia jamaa??? No real love nowdays under the sun
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.