Huyo hana jipya kabisaaa! yeye kila kukicha anakuja na hoja hizo hizo, achukue hatua gani huyo? alisema ataingia ikulu asubuhu asubuhi yako wapi? akasema atapeleka tume ya uchaguz the ag uholanzi mpk wa leo, akichezea kwa magufuli atakipata kichapo kikali cha hapa ni kazi tu.
Chama chake kubenea ndo kilikuwa mstar wa mbele kufichua mafisadi ndani ya nchi hii, watanzania tukakipenda, lkn cha kushangaza mtu waliyemsema kuwa ni fisadi na kupiga kelele bungeni kwa kwa kumsuta kwa vidole vyao leo ndo wanaishi naye ndani ya chama chao! Ss watujibu walichokisema khs huyo...
Huyo Kubenea atakuja na hoja gani wkt chama chake kilimpokea fisadi ili awafikishe IKULU? kwasasa hakuna mtanzania atakaye wasikiliza hao, tumeamini alichosema Dr Slaaa,
Tunamsubir mzee wa kazi tu kama atawapa bajaji, na hili asifanye mchezo, ubunge sio biashara, akifanya hivyo hata maharibino hawatauwawa, kwani wanaokimbilia kwa waganga kusakama ubunge wataacha na kuuona ubunge kuwa ni utumishi wa kuwatumikia wananchi wao na sio kutunisha matumbo kama walivyozoea.
Hiv kazi ya mbunge ni kuwa na cruiser? tumewatuma huko kudai magari, hata bajaji ni gar watembelee hizo, daktar anayeokoa maisha ya binadamu hatambuliki mbunge anayepewa ajira na wananchi wake bila hata kwenda chuo cha ubunge eti wanataka 130 mil, Magufuli anza na hao waje waitambue slogani yako...
Rais wetu mstaafu Kikwete tunampenda na tutaendelea kumpenda, kama unamchukia mchukie wewe! sisi bado tunayatambua mema aliyoyafanya ndani ya utawala wake.
Sio kila kitu kinachozungumzwa na viongozi wetu kuwekwa hadharani, kuna mambo ambayo ni ya wao wawili kama walivyofanya, Safi sn rais wetu hiyo ndo kazi tu.
We usilete itikadi zako za vyama, hapa tunaongelea mtu sio vyama, nyie ukawa kweli mna matatizo!! unalinganisha uwezo na akili ya magufuli, na UKAWA Ukawa chari haraka
Huo ndo utendaji makini, yaani ataokoa fedha nyingi kama atatekeleza uhamuz wake huo wa kuzipunguza wizara hizo na kubaki 20, yaani mpk tulikuwa na wazir asiyekuwa na wizara maalmu?!!! jamani urumieni kodi za watanzania, kweli Magufuli ni Kazi tu.
Maneno yote aliyokuwa anayasema yameingia mfukoni mwake, kwanza sikuwahi ktk kuzaliwa kwangu na kukua kufikia hapa kumwona mtu ambaye ni kigeu geu kama Sumaye!! yeye ndo alisimama na kuwaeleza watanzania kuwa wakimpitisha Lowasa anaihama ccm!!!! lkn bila aibu tulimwona akimfuata huko huko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.