Kama elimu yako haina impact kwa jamii ujue hata wewe haikusaidii. Tanzania ni sehemu ya jamii ya kimataifa, kama kuna kasoro kwenye uendeshaji wa nchi, basi hata wananchi wa mataifa mengine wanayo haki ya kuingilia kati kuondoa dosari kwenye tawala ambazo haziheshimu misingi na sheria za kimataifa.
Suala lingine kwenye biashara zetu kuna msururu mrefu wa wadai kodi. Halimashauri (leseni ya biashara), ushuru wa usafi, fire extinguisher, kodi ya mapato TRA - tena hawa kodi mixer (mapato, stamp, withholding kwa wenye ofisi za kupanga) nk. Ukiangalia hizi zote ni eidha taasisi za serikali au...
Mashine za kutolea risiti bei juu, makadirio ya kodi yapo juu, unategemea vipi kupata kodi! Makadirio ya kodi yawe 'very reasonable' kiasi kwamba mtu mwenyewe aone hata aibu kwa nini asilipe hiyo kodi. Lakini pia ili kuhamasisha matumizi ya hizi mashine za risiti, EFD, serikali iangalie jinsi ya...
Da, ni hatari sana kuhalalisha uchafu kama huu kwamba serikali inaweza kufanya vyovyote na wananchi tukaridhika tu! Maji bado ni machafu hasa, sababu zinazotolewa na dawasa zilitakiwa zije na ufumbuzi wa hili tatizo. Wenzetu wa TBS issue kama hizi huwasikii kabisa wakati zinahusu afya za watu...
Upo sahihi. Huwezi kuwekeza kiasi kile kujenga stand halafu watu wanaikacha kwa ridhaa zao tu. Serikali lazima iwe na msimamo ili ikusanye mapato kupitia hii stand.
Kama ni kweli, ni habari njema sana kwa jamii ya watu waliostarabika (watanzania). Nimekuwa nikifikiri kwamba jeshi lingechukua hata nchi ili kukomesha hivi vitendo vya utekajia, uuaji, rushwa na kuondoa kabisa hii kitu ya watu kubambikiwa makosa na kesi bila ushahidi. Jeshi lingetuelekeza...
Kwa Tz watendaji wote wanatekeleza maelekezo ya viongozi wao, usitegemee wao kufanya kinyume eti kwa vile tu wana elimu kuwazidi viongozi...una hamishwa kitengo fasta kama huzingatii maelekezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.