Recent content by jmoon

  1. J

    Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    Du, kama hii unaona ni kawaida basi tuna safari ndefu sana!
  2. J

    Hello fam it is me beautiful girl

    Unajiamini na nini?
  3. J

    DAWASA kurekebisha 'hali ya maji kuwa machafu', bili yake analipa nani? Ambapo bado machafu, tuchukue tahadhari gani?

    Da, ni hatari sana kuhalalisha uchafu kama huu kwamba serikali inaweza kufanya vyovyote na wananchi tukaridhika tu! Maji bado ni machafu hasa, sababu zinazotolewa na dawasa zilitakiwa zije na ufumbuzi wa hili tatizo. Wenzetu wa TBS issue kama hizi huwasikii kabisa wakati zinahusu afya za watu...
  4. J

    Stend ya Mbezi kwa Magufuli kosa kubwa ni hili

    Upo sahihi. Huwezi kuwekeza kiasi kile kujenga stand halafu watu wanaikacha kwa ridhaa zao tu. Serikali lazima iwe na msimamo ili ikusanye mapato kupitia hii stand.
  5. J

    Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

    Kama ni kweli, ni habari njema sana kwa jamii ya watu waliostarabika (watanzania). Nimekuwa nikifikiri kwamba jeshi lingechukua hata nchi ili kukomesha hivi vitendo vya utekajia, uuaji, rushwa na kuondoa kabisa hii kitu ya watu kubambikiwa makosa na kesi bila ushahidi. Jeshi lingetuelekeza...
  6. J

    Je, inawezekana kumtrace mtu kupitia instagram au x/twitter ikiwa alijiandikisha kwa account fake

    Kwa Tz watendaji wote wanatekeleza maelekezo ya viongozi wao, usitegemee wao kufanya kinyume eti kwa vile tu wana elimu kuwazidi viongozi...una hamishwa kitengo fasta kama huzingatii maelekezo
Back
Top Bottom