Ana fahamu kila kitu kajitoa akili tu kama kawaida ya watawala wetu.Siku akitoka hapo utaona akili itakavyo mrejeaHivi huyu mama hajasikia matuko ya utekaji yanayo endelea?
Hamuoni Lissu anavyo sumbuliwa na kuteswa na kesi isiyo na mashiko?
Hajui tofauti ya "Kukosa utaalam na kutokuwa na weledi"?Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?
Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?
Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi
Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?
Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?
Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.
Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?
Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.
Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.
Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."
Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Wanachosema hawa wapumbavu ni kwamba hawakubali utatuzi wa matatizo ya nchi hii bila ya kupata shurubu litakalowapa akili vichwani.Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Upumbavu mtupu! Kwamba sisi ni kapu la mjanja, mjinga hatii mkono? Sisi sawa kushiriki kuwakwamua wenzetu, lakini sisi hatuhitaji msaada wao. Akili ya kijuha sana hii.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi
Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?
Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?
Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.
Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?
Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.
Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.
Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."
Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Huyu bibi na elimu yake ya kueleweka amekubali kushikiwa akili na mtu aliyetaga O Level.Life inakimbia sana, ameshakuwa ajuza Migiro. 😊
Tatizo kubwa lililopo ni kwamba anayeunda hizi tume anatuhumiwa kwamba ndiye mhusika mkuu wa matukio ya 29/10.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi
Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?
Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?
Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.
Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?
Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.
Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.
Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."
Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Maana yake watu/ Wanandoa wakiuana ndani mahakama isiingilie. Ni swala la ndani!Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi
Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?
Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?
Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.
Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?
Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.
Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.
Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."
Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Kama elimu yako haina impact kwa jamii ujue hata wewe haikusaidii. Tanzania ni sehemu ya jamii ya kimataifa, kama kuna kasoro kwenye uendeshaji wa nchi, basi hata wananchi wa mataifa mengine wanayo haki ya kuingilia kati kuondoa dosari kwenye tawala ambazo haziheshimu misingi na sheria za kimataifa.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi
Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?
Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?
Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.
Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?
Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.
Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.
Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."
Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Ana sababisha Ban Kim Moon kuonekana alifanyia makosa kupendekeza Jina lake.Ila jamani Migiro mbona alishafika peak ya juu kabisa ktk masuala ya uongozi.
Kuwa naibu katibu mkuu wa UN, alihitaji nini kingine? Hadi afikie hatua ya kuwa Chawa namna hii?
Au ndio hulka yetu wabongo, hatujui kuridhika kabisaa, Lol.
Anaishia kuwa wa hovyo dakika za jioooniii.
Duuuh