Recent content by jmhangwa

  1. J

    Diwani wa Kata ya Mswaha, Korogwe vijijini kupitia CCM ajiuzulu

    Hana mpya ccm ina hazina ya viongozi kaondoka JKN-AHM-BWK-JMK na anakuja funga kazi ENL Ccm Acha kidumu chama cha mapinduzi
  2. J

    Mtatiro kukusanya saini za wajumbe wa bunge la katiba wanaopinga posho

    Niko kwenye. Nafasi ya M/Kiti wa bunge la m/katiba mgombea wa nafasi hii asitokane/asiwe waziri kwa maoni yangu ili asiwe na masilai ya upande furani
  3. J

    Paul Makonda: Naunga mkono ongezeko la posho Bunge la Katiba

    Wewe kijana sikujua kama uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kiasi hiki hiyo sio ajila acha uone kama tutakosa dhambi ya kutumwa ndio hio
  4. J

    Jamboleo na Kagame kuna nini?

    Wewe sio mtanzania lakini ni kosa la uongozi wetu wa uhamiaji kuruhusu watu kama wewe kuingia nchini kinyemela
  5. J

    Urais 2015: Bernard Membe ahojiwa na Kamati ya Maadili CCM

    Mama wa malawi anamtoa jasho. Membe acha utani mzee wetu lowassa habari nyingine
  6. J

    Urais 2015: Bernard Membe ahojiwa na Kamati ya Maadili CCM

    Lowassa ni sungura big membe na siasa wapi na wapi atupe ufahamu wa ccm
  7. J

    Nahisi naibiwa ,naombeni ushauri

    Mwanamke au mwanaume ni sawa na bahari na samaki huwezi kuwalinda utalinda Tanga. Watu watavua pemba
  8. J

    Mkimgusa Edward Lowassa mtasahaulika katika siasa za Tanzania!

    Lowassa chaguo la watanzania mzee wetu wa dodoma anazeeka vibaya
  9. J

    UVCCM Morogoro wampinga Malecela

    Mzee kakosea lowassa kiboko wapi na lini katamka atagombea urais zaidi ya kusema ndoto yake yaelimu bure na ajila za kumwaga
  10. J

    Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM

    Makonda kuwa na heshima kwanza lowassa sawa na mzazi wako kimakamo usimukumu mtu kwa kauli ya mwingine hayo maneno yako unaweza kusema bele ya vyombo vya sheria
  11. J

    Gari kutetemeka

    Kapime W/B na W/A
Back
Top Bottom