cku hiz hakuna mpenz ya dhat ktk ndoa,weng wanasaka kampany na wengne rizk upendo wa kwel amna.hivyo m2 akiona mambo ayanyok kama alivyotegemea anaamua kusepa au kujivurugua.
chovya*2 umaliza buyu la asali'ukiusudu kamchezo na mimba zisizotarajiwa upatikana hapo,kubadilika kitabia na hata kupoteza mawasiliano na ndio chanzo cha wa2 weng kuachana na kuish na m2 asie chaguo lake.
kwa upande mwingne vikund hiv vilipokuja kuundwa lazma viliweka waz malengo muundo na mtazamo wa jumla,wa kuwapo na uwendeshwaj wake' labda ingekuwa busala 2ngepata dhima ya kila kundi ndio 2kajua kama wako sawa kwa maslah ya umma au ya nan zaid na madhara yake kwa baadae.au vip?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.