Man,your not alone. Just last year I lost everything I accumulated for over the past 5 years through gambling. I sold my house,plots,V8 and ended up on severe Bank and personal loans.
I went through difficulty time and planned to commit suicide several times.
I thank God, I'm rejuvenating...
Upo sawa kabisa.
Lakini mbona Mwakitolyo inawezekana kwa Wachimbaji kuchukua 90% na wamiliki 10%?
Why not maeneo mengine kama migodi ya wwchimbaji wadogo kahama nk
30% kuna watu huwa wanajiita wenye LESENI. Hao ndio huwa wanakula hii. Hawaweki hata sumuni kwenye uzalishaji ila siku ya kuondoa mawe yako utawaona na vitambi vyao na stick mdomoni na maji ya Jambo mkononi wanataka 30% na hawataki kujua umetumia kiasi gani au ulichozalisha kina nini??
Kumekua na malalamiko mengi sana kutoka kwa Wachimbaji Wadogo wa dhahabu kwa miaka mingi bila kutatuliwa. Tusipojifunza kwa Wafanyabiashara wa Kariakoo tutegemee maandamano mengine ya wachimbaji wadogo.
Baadhi ya Malalamiko yao ni
1. Kulipa kadi(mrahaba) zaidi ya mara 2, mchimbaji hukatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.