Batili,wewe huwezi fahamu yaliyotokea jimbo la Busanda hadi kusababisha
hayo yaliyotokea.
Tuulize sisi wakazi na wapiga kura wa jimbo hilo ndo tunaufahamu ukweli wa yaliyotokea
hadi wakatupoka ushindi. Ni mabavu,ubabe na uharamia ndo ulitumika kuchukua jimbo hilo!!!
Erthrocyte upo sahihi!!!!
Binafsi nilishafiwa na ndugu zangu wa kuzaliwa,niliumia lakini ilifika kipindi
nikazoea,lakini msiba wa Alphonce Mawazo umenipa wakati mgumu sanaaaa!
Huwezi /hamuwezi amini kila niionapo picha yake au comments zozote zinazoongelea
chochote kuhusu AC Mawazo,ninasongwa...
Jamani,kweli mimi mwenzenu kila nionapo makala , habari yoyote au picha ya
kamanda Mawazo Alphonce,moyo unauma saana kwa uchungu na machozi
hutoka nonstop!!! Kifo chake kimenitia simanzi sana jamani!!!
Ninawiwa,ninaahidi kuvaa viatu vyake ili kuenzi yote aliyoyaanzisha!!!!
Aluta continua...
Mimi ninaomba saaana kama kweli hii serikali inatenda haki kwa raia wake ianze na huyu mtu anayeitwa
tang'ana inaonekana anachuki ya hali ya juu dhidi ya marehemu wetu.
Serikali ikumulike wewe tuujue ukweli wake.
Jamani,fitina na chuki hazijengi bali huchangia kuondoa umoja na mshikamano!!
Dada huyu ninavyomfahamu mimi,aliamua kuacha kazi ili kuimarisha chama
na 2014 segerea iliibuka kidedea katika chaguzi za serikali ya mitaa chini ya uongozi
wake mheshimiwa annatropia! kUMBUKENI kule migombani segerea...
Mr chini bana! sijui huwa unavuta bangi mtoroko:bowl:!!!! Simply because,threads zako haziendani na
hadhi yako kabisa,so sometimes huwa najaribu kukuumba nipate structure ya muonekano wako:typing:!! Hapa unataka ku delute issue ya yaliyotokea Bukoba jana katika kata nzima ya kahororo nini? Kwa...
acha kuweweseka weweeee!!! acheni kitengo husika kifanye kazi yake!
Wee ni nani hadi uanze kutoa ripoti ya kifo cha Rev. late ????
Tata madiba, acha kujaribu kuingilia mamlaka ya uchunguzi otherwise, tunakuomba
u declare kwamba nawe ni mchunguzi na kama sivyo,
acha kupotosha umma. Vyombo husika...
nawaunga mkono tec 100%!!!!
Waumini wenzangu,tuabudu jmosi ili jpili iwe kazi moja tu. Kuwahi vituoni tukapige kuraaa!!!
Usimsahau na jirani yako, hakikisha unaambatana na watu zaidi yakumi ili
tukafanye mabadiliko ktk sanduku la kura.
maskini watu wa kijani,mbona mmepanic sana??? Mohamed mtoi alipopata ajali na
kufariki tuliamini ni mapenzi ya mungu na tulilipokea jambo hilo na
kulikubali. Iweje leo afariki binadamu kama alivyokuwa aliyetangulia
watu waanze kutuletea hadithi za kifo cha kupangwa???
Kumbukeni ndugu zangu...
HIYO NI DALILI TOSHA YA KUKUONYESHA KWAMBA,U CCM UNATOKA MWILINI
MWAKO NA UNAKWENDA KUPOKEA UPAKO WA MABADILIKOOOOOO!!!
TOROKA UJE UONANE NA DAKTARI KITENGO CHA UKAWA:A S-cry::A S-rap::peace::peace::peace:!!!
Mimi ningekuwepo ningemwomba kwanza atueleze,
kwanini alishinikiza na kusimamia uchakachuaji wa maoni ya rasmi ya katiba pendekezi
ya wananchi kwenye bunge la katiba??
Mama samia huyuhuyu akiwa mwenyekiti wa bunge hilo akishirikiana na akina Mr.Joka la
makengeza aka mr. vijisenti pamoja na...
toroooooooooooooooooka uje ukawa eee mtanzania mpenda mabadiliko!!
Hiyo ni slogan tetemeko a.k.a scud la funga campain linalokwenda
kuzinduliwa leo hii 30th sept,2015 na le jude lion mzee wa maamuzi magumu
lwaigan lowasaa na utekelezaji rasmi utaanza keshooooo!!!!!!
Mtanzania...
naichukia ccm mpaka nahisi kuugua!!!
Hata mseme nini,tumeamua ni mwendo wa mabadiliko tuuuuuuu!!!
Mmesababisha umasikini,ulofa na mengine mengi halafu mnataka tuwape kura????
Mppyuuuuuuuuuuuuuuw!!! Tunataka mabadiliko .period!!
natamani kamanda mawazo alphonce mbunge mtarajiwa wa jimbo la busanda
aunganane na akina lembeli wapige kazi ya toroka ujeeeeeee!!!!!!
Kaazi ndiyo imeanzaaaaaaaa!!! Mabadilikoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.