Recent content by JM Bright

  1. JM Bright

    Ndoa: Nimevipata vyote isipokuwa hiki tu

    Mapepo hayo, aende kwenye makanisa ya Shiloh kusali hata mara tatu kwa wiki atabadilika. Mke wangu mm alikuwa na tatizo hilo for 7 yrs now yupo k. Lkn ibada na sara ni kila wakati, ndiyo maisha.
  2. JM Bright

    Mikoa mingi itasubiri sana kuifikia Kagera kielimu

    Mm nilifikiri utasema, wahaya wanatisha sana kwenye Ujasiriamali na kuwa na investments kubwakubwa, kumbe issue Za darasani tu Kwa elimu ya kusubiri kuajiriwa! Katika mikoa bora Kwa umasikini Tz, huo nao humo. Sasa what do u mean by Education?!, Tuitumie elimu kupunguza umaskini unaotuzunguka
  3. JM Bright

    Wanywaji wa Soda hatarini

    Asante mkuu, lkn linafahamika sana. Tena soda baridi hatari sana
  4. JM Bright

    Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

    Nunua gari, hamu ya kuwa na gari haiishi, safari moja uongeza nyingine. Ila Nyumba muhimu sana
  5. JM Bright

    Ni bora wangekuua kuliko mateso wanayompa huyu mwanamke

    Pole sana ndg yangu. Katika kipindi hiki cha Mapambano omba sana Mungu kuwa mwangalifu/makini sana. Wachawi ni watu wabaya sana, mm mke wangu alishafanyiwa hivyo na mwanamke mwingine for more than 7 yrs lkn coz nilikuwa karibu na Mungu atimaye nikigundua na kuanza kushughulikia. Tatizo wachawi...
  6. JM Bright

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Kwa jina la Jesus Christ wa Nathalet aliye hai, Nakataa kufilisika
  7. JM Bright

    Nimepata SMS kutoka halotel ila sijaielewa naomba msaada

    Tunakaribia Christmas na Mwaka Mpya
  8. JM Bright

    Msaada wa kijana mwenzenu, je nikasome au nioe tu?

    Fanya biashara, tafuta pesa huku ukiandaa ndoa yako coz hata mtumishi Wa Umma ili apate mafanikio halali lazima afanye shughuli nyingine. Ili kuweka usimamizi Wa karibu machache ya darasani yabadirishe yakusaidie mtaani kuishi kijasiriamali. Mm mwenzio ninaelimu nzuri tu lkn bado vyuma vimekaza...
Back
Top Bottom