Wanawake wengi hupunguza na hata kuacha kabisa kuwajali wanaume wao wakifika umri wa 50, Huwa wanajisikia sana na mapenzi yao huyahamishia kwa watoto, katika umri huo wanawake wengi huwa hawawasikilizi maume zao, hufanya kila wanalojisikia bila kujali chochote, kiburi na maneno machafu na...
Tuna kila sababu ya kufurahi leo bila kujali nini kitatokea mbele ya safari, watu wengi walielekea kuamini kuwa T stars haitavuka mbele ya Algeria. Uganda pia walidhani shughuli imeeisha licha ya kutuombea njaa sisi ndo tumefuzu.
Tunasahau sana ata miaka mitatu bado haijapita.
Katiba na sheria vyote vilikuwepo na mikutano ya hadhara haikufanyika, leo hata mwaka 1 bado hujakamilika watu mameshaanza kusahau.
Utashi wa Rais tu pekee ndo unalea hayo maridhiano na si vinginevyo. Kubeza na kutumia lugha zisizofaa ni kusahau...
Kama ni hivyo basi umasikin wa wazazi wengi upo kwenye maamzi yao wenyewe.
Na je kama wangeamua wasiwe na watoto wangekuwa na hicho kiasi cha pesa kwa muda ulioutaja?
Vipi wale watoto wanaohusika kwenye shughili za uzalishaji za familia zao bila malipo?
Suala la umasikini halina sababu moja...
Hakuna ubaya wowote timu kukaa na kuelewana na mchezaji, ni vyema pia timu kutambua mchango wa mchezaji na kuondoa tofauti.
Viongozi weledi huchukua maamzi yasiyokuwa na gharama.
Mkuu natamani utoe somo juu ya matumizi mazuri ya demokrasia Africa, kwan anona unatumia demokrasia kupinga demokrasia.
Suala la matumizi ya lugha za matusi na kejeli kwa viongozi nakubaliana na wewe hili halikubaliki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.