Dk.Magufuli yupo mkoani Mbeya na leo amefanya uzinduzi wa barabara iliyojengwa kwa kiwango cha lami ya Isongole kwenda Itumba na kuahidi kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Mpemba kwenda Isongole inayounganisha nchi ya Tanzania na Malawi.
Dk.Magufuli na Mkuu wa Wilaya ya Ileje...
Bure kabisa:
Hebu katafute hiyo manual uisome vizuri na angalia "Table 4-4: Design Speed for Various Road Design Classes"
Utakuta mpaka carriageway ya 4.0.
World Bank siyo wajinga kiasi hicho huwa wana close monitoring ya miradi yao yote - achana na kudanganya watu hovyo hovyo unaniboa sana...
nakuhurumia kwa kutojua mambo nakuomba sana tafuta geometry design manual ya barabara za Mikoa na barabara Kuu ya mwaka 2012 utapata majibu na kukutoa ujinga ulio nao sasa - pole sana.
Maana naona unatoa mapovu bila sababu!
Hapa Magufuli kafisadi wapi ? Tatizo una chuki binafsi na ukiangalia background yako ni kumuattack huyu Waziri hasa road reserve na unaokota taarifa mtandaoni zenye chembe hasi na Magufuli ndo kwako zinakuwa biashara.
Lakini ngoja nikujibu Mkuu na upotoshaji wako - kilichofanyika ni lane...
Naomba samahani mwanzoni niliandika hovyo na kukimbia sehemu but meseji yangu ni hii:
Hapa bado nina wasiwasi na wewe pia, mleta mada alisema due delligence ilifanyika Ghana na Msumbiji baadae katokea mtu kasema ilifanyika South Sudan na Malawi ambapo tena mleta mada kasupport sasa tumwamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.