Recent content by JJ10

  1. JJ10

    Hi

    badili kichwa cha uzi wako' maana mimi nilitaka kusema mwanzo huwa hi mwisho wake huwa bye. Thread closed.
  2. JJ10

    Kufungwa jiwe miguuni kama tiba

    mkuu kwanza pole kuuguliwa na mama yetu!! Pili kwani hofu yako ninini? maana mwenyewe unasema madaktari ndio wameshauri hivyo' sasa huna imani na ushauri wa kitabibu uliotolewa na matabibu utakuwa na imani na ushauli na watu kama mimi ambao wengine hiyo sio field yetu? pili kama ulikuwa...
  3. JJ10

    Tujazane yanayotokea mtaani kwenu

    Hahahaha hatari!!
  4. JJ10

    Tujazane yanayotokea mtaani kwenu

    Kipindi tulichopo sasa ni kipindi ambacho kampeni zinaendelea kwa ajili ya uchaguzi mdogo. sasa kuna mengi yanayojiri kwenye hizi kampeni'' huku mtaani kwetu mambo niliyoyashudia ni; 1: Kuvunjwa kwa kioo kwa gari ya matangazo ya CCM' ilipigwa na jiwe. 2: Kuzomewa kwa wogembea wa CCM pamoja na...
  5. JJ10

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    kwani ukiandika hoja bila kutoa kashfa yoyote wanajamii forum hawasomi?
  6. JJ10

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Nauliza jamani Bunge limesimamishwa au linaendelea? kama linaendelea ni vituo gani vya redio au tv vinarusha matangazo moja kwa moja? Au ujio wa JK na mapokezi yake ndo imekuwa kikwazo cha kurusha matangazo ya bungeni maana redio one na Tbc nilikuwa namskia JK anaongea?
  7. JJ10

    Una uhakika gani kwamba TB Joshua ni nabii fake?

    Nawewe nawe ndio walewale' unasapoti kashfa hii kisa wamegusa interest zako. Nawewe huko uliko utakuwa unajiita mlokole!!
  8. JJ10

    Una uhakika gani kwamba TB Joshua ni nabii fake?

    Haki ya nani wewe sio mzima. Utakuwa umerogwa' na aliyekuroga kafa.
  9. JJ10

    Majambazi wamevamia Kibaha

    Niliambiwa waliuliwa watu wawili' katika maelezo yako kama sijakuelewa vibaya inaonyesha kauwawa mtu mmoja nisahihishe hapo ndugu. Asante kwakutujuza zaidi.
  10. JJ10

    Majambazi wamevamia Kibaha

    Usikimbie na mambo' tulia fuatilia mambo ndo uandike kitu hapa. Unabisha wakati mimi niliongea na nesi ambaye alikwepo night shift hospital ya Tumbi na alithibitisha kwamba wamepokea mwili na majeruhi wa hilo tukio.
  11. JJ10

    Majambazi wamevamia Kibaha

    Naambiwa kuna askari alikuwa maeneo yakaribu baada yakuona majambazi yana mashine za hatari eti kavua gwanda la juu kakimbia kifua wazi kuogopa asijulikane na hao jamaa.
  12. JJ10

    Majambazi wamevamia Kibaha

    Mliopo kibaha tujuzeni. Naambiwa kibaha mail moja imetekwa kwa mda wa dakika tano. Majambazi wamevamia supermarket wamefanya yao na wameua watu wawili ambao walileta ubishi kuwapa pesa. Mliopo huko tujuzeni yaliyojiri zaidi.
  13. JJ10

    Screen ya I phone4s

    Namba ya NAIM 0784 614 111
  14. JJ10

    Screen ya I phone4s

    Kuna wahindi koko pale Lumumba hizo ndio shughuli zao' Bosi wao anaitwa NAIM' ukiulizia Lumumba unawapata fasta maana wapo tokea kitambo sana.
Back
Top Bottom