Nnavojua mm ni lazima uwe na biashara itakayokidhi vigezo vya kurudisha huo mkopo ulioomba kununulia hiyo nyumba na istoshe ukiipenda nyumba unaelewana na mteja benk wanaenda kuikagua wanakunuulia lkn wanabaki na document zote na ni lazima Ila pia piashara yako nayo itakuwa bond bank
Sent using...
Jaribu kufungua account za dola ila makato ya kuchukua hela lazima yawe makubwa maana hawakukati kila mwezi Ila kila utakapotoa hela unakatwa hela kiasi
Kujiajiri ni lazima uwe na mtaji na istoshe kabla hujaacha kaz mbinu niliyotumia nilianza biashara kabla ya kuacha kaz baada ya kuona biashara inanilipa kuliko ajira ndiyo nikaamua kuacha kaz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.