Klabu ya yanga sc imefikia makubaliano ya kuachana na kocha wake Roman Folz kufutia mfululizo wa mwenendo mbaya wa timu hiyo yangu alipoanza kuifundisha,
Uamuzi huo unakuja mara baada ya timu ya hiyo kupoteza mghezo wake wa mzunguko wa kwanza wa ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Silver...
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram Mwanyekiti wa chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoa wa njombe Bi Rose Mayemba amesema Kuwa Kuna watu wamemfata baba yake mzazi mzee Mayemba na kumtaka amwambie mwanae(Rose mayemba) achane na masuala ya siasa laasivyo watampoteza,katika...
Takribani wanafunzi 60,000 waliomaliza elimu ya sekondari nchi Burkina Faso wameanza mafunzo ya uzalendo yatakayodumu kwa mwezi mmoja kama sehemu ya kuwajengea uwezo wa kutetea na kupigania taifa hilo la Afrika magharibi linalokumbwa na changamoto za ghasia za kijahidi,
Mpango huo umepanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.