Klabu ya yanga sc imefikia makubaliano ya kuachana na kocha wake Roman Folz kufutia mfululizo wa mwenendo mbaya wa timu hiyo yangu alipoanza kuifundisha,
Uamuzi huo unakuja mara baada ya timu ya hiyo kupoteza mghezo wake wa mzunguko wa kwanza wa ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Silver...
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram Mwanyekiti wa chama Cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoa wa njombe Bi Rose Mayemba amesema Kuwa Kuna watu wamemfata baba yake mzazi mzee Mayemba na kumtaka amwambie mwanae(Rose mayemba) achane na masuala ya siasa laasivyo watampoteza,katika...
Takribani wanafunzi 60,000 waliomaliza elimu ya sekondari nchi Burkina Faso wameanza mafunzo ya uzalendo yatakayodumu kwa mwezi mmoja kama sehemu ya kuwajengea uwezo wa kutetea na kupigania taifa hilo la Afrika magharibi linalokumbwa na changamoto za ghasia za kijahidi,
Mpango huo umepanga...
Akizungumza na jembe FM Bi jasmine Razack ambaye ni msimamizi wa mshambuliaji wa Yanga SC na timu ya taifa ya Tanzania Clement Mzize amesema klabu ya yanga imegoma kumwachia Mzize kujiunga na klabu ya Al Masry kwa ofa waliyokuja nayo huku Yanga wao wakitaka kiasi Cha dola million moja ili waweze...
Bado haijajulikana ni lini hasa watakutana lakin kupitia kikao hiki kati ya trump na Putin bila shaka kitaleta muafaka wa Kujua ni lin watakutana kwa mataifa yanayopigana (Ukraine &urusi)
Naibu balozi wa urusi katika umoja wa mataifa Dmitry Polyanskiy amesema Rais wa Urusi Vladimir Putin huenda akakutana na Rais wa Marekani Donald Trump
Hatua hiyo inaleta matumaini makubwa katika kumaliza mgogoro unaendelea kati ya Urusi na Ukraine, licha ya kutokuwepo kwa taarifa rasmi za...
Klabu ya Yanga Sc leo imeingia mkataba wa miaka mitatu na kampuni ya Haier wenye thamani ya shilingi bilioni tatu, haier watakaa kwenye bega la kushoto jezi ya Yanga kwa misimu mitatu.
Je, unadhani thamani ya mikataba inayoingiwa na timu zetu za Tanzania inaendana na hazi na ukubwa walionao?
Unaupa asilimia ngapi usajili huu wa Simba sc kuelekea msimu mpya?
Sajili zilizotiki hadi sasa
Rushne
Kante
Abraham
Semfuko
Sowah
Soma Pia: Husein Massanza: Ukimtaka Sowah njoo na Tsh. Bilioni 2.6 Singida BS
Klabu ya simba imekamilisha usajili wa nyota wa kimataifa wa Senegal Alassane Kante anayehudumu nafasi ya kiungo wa ulinzi, akichukua nafasi ya fabice Ngoma ambaye ametangazwa kutokuwa sehemu ya kikosi Cha simba msimu ujao, je unafikiri kwa sajili hizi ambazo simba inaendelea kuzifanya zitaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.