Huyu jamaa nchi anaifanya kama mali ya baba yake anachofikiria kwenye utosi wake ndicho kinakuwa uamuzi kwa waganda wote. Ee Mwenyeezi Mungu waondolee ndugu zetu jinamizi hilo
Mpaka hapo Lengai amekiri kuwa alivamia dukani kwa watu nje ya eneo lake la utawala, kuhusu utetezi wake kuwa katumwa na mamlaka ya uteuzi ni wajibu hao waliotajwa kukanusha au kukiri ili nao wajifunue hadharani
Huyu Wambura ndanu ya mwezi mmoja kapanda vyeo mara nne, katoka Dodoma kaenda Dar kuchukuwa nafasi ya mambosasa mara paap kawa DCI ndani ya wiki mbili duh, Zali zalini
Nawasubiri waipitishe ili wathibitishe kwa vitendo kuwa Mwenyeezi Mungu ametutangulia mbali kwa akili na maarifa kwa hizo fujo na mauwaji yatakayosababishwa na aina ya mfumo wa ndoa wanayopendekeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.