Kampuni inayotoa huduma ya usafirishaji wa anga Qatar Airways nchini Tanzania kwa miongo kadhaa sasa, kupitia safari zake za Dar es Salaam, Kirimanjaro na Zanzibar imechangia madawai 100 katika shule ya msingi Chanzige B, iliyopo wilayani Kisarawe jijini Dar es Salaaam. Hiyo ikiwa ni sehemu ya...
Kama unataka kununa na kufurahi kuwa mshabiki au mpenzi wa siasa za Tanzania yenye kivuli cha Demokrasia tangu kuasisiwa kwake.
Tangu kuifahamu kwangu kwa upeo wangu mdogo wa kuijua siasa ni vitimbi vya aina mbalimbali, huyu kamchamba yule, yule kaenda kule na kurudi kule,wale 'wamembania'...
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.
Ujumbe...
CHAMA cha Mapinduzi CCM kimezidi kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka unaotarajiwa kufanyika Jumapili, Oktoba 25 baada ya kubuni mkakati mpya wa ushindi ambapo mgombea wa nafasi ya urais Dk. John Magufuli kuwapigia simu wananchi akiomba wampigie kura.
Ujumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.