Unapoambiwa wanawake ni jeshi kubwa usihoji ni jeshi lipi, wewe elewa tu kuwa hawa watu ni jeshi kubwa na wakiamua kuvamia kambi hawatishwi na ukubwa wa adui. Wanapambana na majitu na wanawakalisha chini.
Hakika Kipenda roho hula nyama mbichi. Ama Mwenyekiti naongopa?
Ni mkoa wa pwani kabla hujafika chalinze kuna sehemu inaitwa vigwaza kuna mnada wa nyama ya mbuzi ukifika uliza njiapanda ya kwenda kwala kwenye bandari kavu utaelekezwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.