Recent content by Jitu la kienyeji

  1. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Ndoto za kurudi Shule na Kijijini kwenu zina Maana Gani?

    🤔🤔😁😁
  2. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Ndoto za kurudi Shule na Kijijini kwenu zina Maana Gani?

    Kwanini mkuu me nakubali kishenzi
  3. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Ndoto za kurudi Shule na Kijijini kwenu zina Maana Gani?

    Anaitwa Kali P sijui hata kama alitoa video ya hii nyimbo
  4. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Ndoto za kurudi Shule na Kijijini kwenu zina Maana Gani?

    Imekaa vibaya hii bado haijatulia imekaa vibaya Sijui nirudi Kijijini au nirudi shule🤔
  5. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Age means nothing it's just a number

    18 mbona mingi mtoto wa miaka 5 ana akili za mtu mzima
  6. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mbeya mjini wasipodhibitiwa watajenga hadi juu ya Kawetere, matokeo yake si mazuri baadae

    Dah! Nsalaga kulikuwa kijijini sana huko nakumbuka nilikuwa nikienda kumsalimia Bibi yangu maji tulikuwa tunachota kwenye mifereji
  7. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Unahitaji huduma za Kompyuta kama programu, windows 10,11 na n.k

    Nimekuelewa mkuu, lakini kitu kingine naona inakula sana bundle nadhani kwasababu ya updates kuna mtu Aliniambia windows 7 haina updates
  8. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni jeshi kubwa

    Unapoambiwa wanawake ni jeshi kubwa usihoji ni jeshi lipi, wewe elewa tu kuwa hawa watu ni jeshi kubwa na wakiamua kuvamia kambi hawatishwi na ukubwa wa adui. Wanapambana na majitu na wanawakalisha chini. Hakika Kipenda roho hula nyama mbichi. Ama Mwenyekiti naongopa?
  9. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Unahitaji huduma za Kompyuta kama programu, windows 10,11 na n.k

    Computer yangu ina windows 10 nilipelekea fundi aniwekee window 7 akasema imeshindikana je Ni kweli inashindikana?
  10. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekanaje kijana miaka 28 bado yupo nyumbani

    Ukipenda ua penda na boga lake, mtoto kwa mzazi hakui.
  11. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Mikataba ya mangungo katika jina la Uwekezaji

    Hapo kwa mwendokasi naona sawa kwengine no comment
  12. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Mbossa: Bandari kavu ya Kwala ni mara tano zaidi ya ukubwa wa Bandari ya Dar es Salaam

    Ni mkoa wa pwani kabla hujafika chalinze kuna sehemu inaitwa vigwaza kuna mnada wa nyama ya mbuzi ukifika uliza njiapanda ya kwenda kwala kwenye bandari kavu utaelekezwa!
  13. Jitu la kienyeji

    JamiiForums Tanzania Mbossa: Bandari kavu ya Kwala ni mara tano zaidi ya ukubwa wa Bandari ya Dar es Salaam

    A Ayaa! ushampoteza tayari yaani uache kuitaja vigwaza ukaitaje mlandizi
Back
Top Bottom