Nakuunga mguu kwa %100 maana kunamijitu iko kijijini haitambui hata kodi ninini
Mi nadhani kodi ya bichwa ikiludishwa pengine kipindi cha uchaguzi yatajitafakali Nani yampe kura
Me nikisema njaa zitawaua vijana wa lumumba ntakuwa nimekuonea? Me nikajua utawaeleza polis kwamba muda wakuwataja walio mpiga risasi tundu lisu umefika kumbe hata hufikilii kwakutumia bichwa lako unafikilia kwa kutumia makalio. Pumbavu saaaaaaana
We kweli hivi unavyosema tuangalie chanzo haya hebu tuangalie chanzo sasa hivi mkurugenzi wa tume angetoa hati za viapo kwa mawakala wa chadema kwawakati kama walivyo pewa wa ccm unahisi maandamano yangetokawapi? Sasa unapoilaumu chadema na mbowe unataka kumueka wapi mkurugenzi wa tume?
Naskia boss kapiga CM katoa
Maelekezo hivyo vitu
Viwekwe stoo
Nasio wawekewe hao
Wafungwa anadai kazi yao nikufanya kazi nasio kuangalia [emoji342] dadek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.