Recent content by Jitambue2111

  1. J

    JamiiForums Tanzania Tunapofurahia mazuri ya Magufuli, tufurahie na mabaya yake pia.

    Hope wazee wa kulalamika iwe mvua iwe jua watakuwa wameelewa toppic closed! Mnatujazia server bure tu hapa!
  2. J

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya wilaya ya Ukerewe haitoi huduma ya bima ya afya:

    Mkuu, Shida ni kuwa unapohitaji kwenda kununua dawa kwa kutumia bima unahitaji kuandikiwa dawa katika form za NHIF ndo hizo hizo hazipo!
  3. J

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya wilaya ya Ukerewe haitoi huduma ya bima ya afya:

    Aisee ni kweli kabisa, Sijui ni ukerewe tu au ni nchi nzima?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania Kuna viongozi Wazalendo ndani ya vyama Corrupt

    Mkuu RingaRinga umeongea kitu ambacho ni fact, as watanzania tuna magonjwa ya msingi yanayohitaji tiba yenye kuleta nafuu ya kudumu na si ya muda mfupi. Imefikia mahala ukiulizwa utamaduni wa mtanzania uuelezee utadanganya kwa kuwa watanzania wa leo si wa kesho, unavyomuona leo si vile...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli akutana na wafanyabiashara, atoa siku 7 kwa waliokwepa kodi kujisalimisha na kulipa

    Kwa mujibu wa hotuba ya raisi kwa wafanyabiashara leo jijini dar, samaki wamekuwa wakiibiwa au kuvuliwa seerikali ikiwa inashuhudia kwa rada. Hii ina maanisha nini? Si ajabu hata zilizokamatwa na Magufuli kesi ilipindishwa, mbona majipu ni mengi sana?
  6. J

    JamiiForums Tanzania UKAWA sasa mpo tayari kufuta posho za wabunge kupunguza matumizi ya serikali?

    Bwana Ritz si muhimu kumzuia fisi asile mifupa kwa kuwa hakuna anaeihitaji, laakini utaratibu ni yeye kula mifupa bas asitamani na nyama
  7. J

    JamiiForums Tanzania UKAWA sasa mpo tayari kufuta posho za wabunge kupunguza matumizi ya serikali?

    Mkija kitaa 2020 kuomba kura mjue hii itakuwa ajenda pia, lazima mtueleze jinsi mtakavyosaidia kubana matumizi ya serikali ikiwamo kupunguza posho za wabunge, Kumbuka #WhatWouldMagufuliDo ndio habari ya mjini hadi uchaguzi ujao, na usidhani usichokiweza wewe wenzio hawakiwezi, na wenzako...
  8. J

    JamiiForums Tanzania UKAWA sasa mpo tayari kufuta posho za wabunge kupunguza matumizi ya serikali?

    Wachangiaji wa leo karibia wote ni wabunge. Wajanja sana! wanachomeka pini zao taratibu bila haraka
  9. J

    JamiiForums Tanzania Huu ndio ufisadi wanaoufanya walimu serikalini. Nao ni majipu, watumbuliwe

    eddy unataka kupima uwezo wako wa kutukanana na walimu? Haya endelea
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

    Acha kukurupuka! Nilichofanya ni kuonesha kuwa yote yanawezekana ndo maana nikasema SI AJABU, sijasema HAKIKA yeye hajui kinachoendelea, Au unaugomvi na SSB mkuu?
  11. J

    JamiiForums Tanzania Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

    Bakhresa ni taasisi kubwa imeajiri watu wengi. Si ajabu ufisadi hufanyika bila yeye kujua. Ila linapotokea tatizo kama hili ndipo shoda hutokea, atakaeonekana mkwepa kodi ni bakhresa mwenyewe kumbe kuna mti kajinufaisha kwa mgongo wa syndicate
  12. J

    JamiiForums Tanzania Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

    Sim gani labda naeza saidia maarifa
  13. J

    JamiiForums Tanzania Unampokeaje nduguyo aliyemaliza kifungo cha muda mrefu?

    ufyudhi Changamka kabla sijakulipua jamaa yangu kwa kuwa sipendi kukosolewa bila vigezo ati, I'm a human being as well ujue
  14. J

    JamiiForums Tanzania Unampokeaje nduguyo aliyemaliza kifungo cha muda mrefu?

    Wapi nimebugi mwanawani
Back
Top Bottom