Serikali inapaswa kuongeza juhudi katika mpango wke wa kufufua reli ya kati ili kuweza kupungza gharama za usafirishaji wa mizigo kutoka bandar kwenda nchi zinazotuznguka....hyo itawavutiwa wengi kuendelea kutumia bandari yetu kupitishia mizigo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.