Recent content by Jires Chriss

  1. J

    CHADEMA haina Afisa Habari au Katibu Mwenezi?

    Duh, mfia chama pole!
  2. J

    John Heche na kamati za bunge

    Wafanye kazi mbwembwe zingine waziache....kuna nini hadi watake wawekwe kwene kamati fulani? Hafu inakuwaje Zitto anajadiliwa hivo? Jamani, si watu mmwache..mangapi cdm wanafanya hatusemi? Teuzi ngapi hususani viti maalumu zinakwenda kwa nepotism hatusemi? Kwani unadhani wengi wanafurahia...
  3. J

    Prof. Joyce Ndalichako, Waziri ninayemuunga mkono kuliko wote

    Mzee tupatupa naungana nawe, hakika sidhani km kuna mtu alikuwa anafurahia hali ya elimu ilivo kwa sasa
  4. J

    Anguko la Jose Mourinho limfundishe kitu Magufuli

    Ni wazi kwamba JF ni ya great thinkers...ni vema tunapofika kuchangia tuwe tumeelewa nini twachangia mathalani hoja inayokuwepo. Hoja ya Paul Alex, ilihitaji sasa dhana ya great thinkers tena ya hali ya juu. Sidhani kama ilikuwa ya kisiasa, bali nafikiri ilikuwa ni ya kifalsafa zaidi, hapa...
  5. J

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    Sina mashaka, Rais tangu enzi za ubunge na uwaziri ni mtendaji mzuri. Ana uchungu na nchi yetu isonge mbele. Ana mawazo chanya na wananchi, si mwigizaji zaidi ya kuwa mtendaji. Kubwa zaidi, naomba wasaidizi wake wamuunge mkono, ifike kila mtanzania aone faraja ya kufurahia maisha na matunda ya...
  6. J

    TANZIA: Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo afariki dunia

    Naungana katika maombolezo. Poleni wafiwa, Mungu awape nguvu ya uvumilivu katika kipindi hiki kigumu. Tumwombee apumzike kwa amani!
Back
Top Bottom