Recent content by jipu kuu

  1. J

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Mkuu naomba kujuzwa nyota yangu na kazi ipi au biashara ipi inaendana na nyota yangu jina Robert, tarehe 19/3/1987 alhamisi, jina la mama theresia
  2. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Labda iwe ivyo unless otherwise itakua ni siasa
  3. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Ndo mana nmesisitiza awe nao macho mara nying sana wamekua wanamwangusha raisi,, lengo sio kumuharibia ulaji mtu bali kujenga umakini ktk utendaji ile kuleta maendeleo kwenye taifa letu
  4. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Sio kukosa iman pia kuweka chuki ya vijana kwa serikali iliyoko madarakan kitu ambacho ni kibaya kwa mustakabari wa taifa letu kwa badae
  5. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Kumbuka uraisi ni taasisi,,, mpaka anatoka tamko kashajiridhisha kua kuna bajeti ya kutosha kwenye tamko analotoa kulenga kundi fulan
  6. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Utoto upi mkuu?? Kwan ww umedanganywa mara ngapi na serekali hii? Bas na ww utakua mjinga hoja hapa ni wasaidizi wake kwenda kinyume na matamko ya mwajiri wake full stop
  7. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Kivyovyote vile ila kimsingi tamko LA raisi sio la kuchengeshwa chengeshwa na wasaidizi wake
  8. J

    Rais fuatilia hili kwa wasaidizi wako

    Kuna tabia ambayo imejengeka kwa wasaidizi wako pale unapotoa tamko halifanyiwi kazi au halitelekezwi kwa asilimia 100 % na hii inapelekea kutoa taswira au mtazamo hasi wa wananchi kwa serikali yako tukufu ,tamko lako raisi linapotoka kinachofuata ni utekelezaji tena kwa asilimia zote na...
  9. J

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Kwa jinsi mambo yalivyo ebu fuatilieni mana agizo lilikua wazi kwa raisi vijana opp magufuli wapatiwe ajira na alisema idadi yenu haizidi mia nane iweje wachukuliwe baadhi wengine waachwe? Ndo yale yale raisi ana dhamira ya dhat kbsa kwa wananchi wake ila wawakilshi wake wanamuangusha
  10. J

    Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Magufuli

    Kwanza polen sana vijana,suala lenu nlilisikia toka mwez wa kumi na mbili mwaka jana kuna dogo nae n muhanga WA hili,aliniambia ukweli kuhusu hili suala ,kwanza ni utata WA usaili kwa maana ya kusailiwa watu ambao hawakushiriki kwenye miradi au Ambao hawakua kwenye idadi ya raisi mpendwa Dr John...
  11. J

    Mtoto kujikusanya sehemu moja

    Asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. J

    Mtoto kujikusanya sehemu moja

    Anadai akila kitu chochote anacheza na akilala akiangalia juu au kichalichali ndo anacheza zaidi na Leo analikua anaongea akacheka kidogo akasikia amekimbilia upande mmoja Sent using Jamii Forums mobile app
  13. J

    Mtoto kujikusanya sehemu moja

    Poleni na majuku wakuu,niende moja kwa moja kwenye mada nina mke ambaye anaujauzito Wa miezi mitano na siku kadhaa ila shida mtoto anacheza sana na mke wangu ananiambia akicheke mtoto anajikusanya sehemu moja nna wasi wasi naombeni msaada Wa mawazo kuhusu hili .natanguliza shukrani Sent using...
  14. J

    Si nina ibiwa hapa??

    Cku izi kubambikiziwa nje nje kua makini
Back
Top Bottom