Nini Cha ajabu unadhani utafiti wa dawa ni sawa na kucheza ndomboloo
Kuna ethics za ugunduzi,matumizi,ubora wa dawa.
Taasisi kama Muhimbili haitakiwi ku act kama wagaganga wa kienyeji
Huyu ndio yule alipopewa wizara ya mifugo akawa anadamkia machinjio ya Vingunguti
Hawezi kudumu kwani karata yake kubwa kwa Magu ilikuwa ni wingi wa matusi atakayo iporomosha kwa Chadema na Zito jambo ambalo halitamsaidia awamu hii
Tahadhari kubwa inahitajika,huyu bwana anajua wapi Meko alipokuwa anatoa fedha za kununulia Channel Ten na zile alizokuwa anagawa barabarani wacha za kumlipa yule kandarasi maarufu aliyejenga uwanja wa Chatto
Kheri ni kinyago kilichoundwa na ''mtozi' wa Star tv kupitia vipindi vyake kadhaa vya mahojiano.
Pia Kuna uzi humu ndani ukieleza uhusiano wake wa kifamilia na Jiwe
Pascal Mayalla
Je mchango wa ATCL katika kukuza utalii na biashara ndani na nje nchi ni chini au zaidi ya hiyo billion sitini?
Je inasaidia wafanya biashara wa ndani kufanya kazi kwa ufanisi zaidi na kulipa kodi?🤔
Breakeven point ya ATCL ni lini (projected)?
Just thinking out of the box
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.