Dkt. Bashiru Ally ulikataa uteuzi wa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?

SUTAGI-

JF-Expert Member
Nov 9, 2018
269
511
Bashiru Ally aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi tarehe 27 February mwaka huu, leo ni siku ya 32 tangu aapishwe kuwa KMK na Hayati Dr. JPM (R.I.P).

Ametumikia nafasi hiyo kwa mwezi mmoja tu.

Kabla ya uteuzi huo Dr. Bashiru alikuwa Katibu Mkuu wa CCM tangu Mwaka 2018.

Dr. Bashiru alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM alijigamba kuwa hiyo ndiyo nafasi yake kubwa kuitumikia na kamwe hatokubali nafasi yoyote zaidi ya hiyo.

Hata hivyo baada ya kuteuliwa kuwa KMK hakukataa uteuzi huo hadharani kama alivyoahidi. Huenda ulikataa uteuzi huo faraghani. Kama hakukataa huo uteuzi sirini au hadharani basi Mungu alitaka kukukumbusha kauli yake.

Tunakosea sana tunaposaliti kauli zetu wenyewe tena tunazozitoa mbele za Watu.

Hakika Mungu hadhihakiwi hata siku moja.
 
Kimsingi alikuwa hatoshi kwenye nafasi hiyo na lilikuwa kosa kubwa sana kuunajisi Utumishi wa umma kwa kumuweka Katibu Mkuu wa CCM kuwa CS ............
Nchi ilikuwa iko autopilot hii na hilo genge lilikuwa limefanya "State Capture" kama ile familia ya akina GUPTA kule Afrika ya kusini .
Ni vyema sana Mama ameliona Hilo na kulifanyia sawa.
 
Mtuhumiwa anakwenda mjengoni
IMG_20210331_171237.jpg
 
Kati ya vitu ambavyo marehemu alipuyanga dakika za mwishoni kabla ya umauti kumkuta, ulikuwa ni uteuzi wa Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, na pia ile kauli yake ya kumwambia yule mwanachi aendw na m.a.v.i. yake nyumbani!!
 
Bashiru Ally aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi tarehe 27 February mwaka huu, leo ni siku ya 32 tangu aapishwe kuwa KMK na Hayati Dr. JPM (R.I.P).

Ametumikia nafasi hiyo kwa mwezi mmoja tu.

Kabla ya uteuzi huo Dr. Bashiru alikuwa Katibu Mkuu wa CCM tangu Mwaka 2018.

Dr. Bashiru alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM alijigamba kuwa hiyo ndiyo nafasi yake kubwa kuitumikia na kamwe hatokubali nafasi yoyote zaidi ya hiyo.

Hata hivyo baada ya kuteuliwa kuwa KMK hakukataa uteuzi huo hadharani kama alivyoahidi. Huenda ulikataa uteuzi huo faraghani. Kama hakukataa huo uteuzi sirini au hadharani basi Mungu alitaka kukukumbusha kauli yake.

Tunakosea sana tunaposaliti kauli zetu wenyewe tena tunazozitoa mbele za Watu.

Hakika Mungu hadhihakiwi hata siku moja.
Ndugu yangu njaa mbaya unaweza jikuta unanena kwa lugha
 
anyway huyu Bashiru ally alipewa hiki kiti cha kmk unexpectedly, sidhan km kuna mtu anaetambua siasa ndani na nje ya nchi ungemshawishi kwa uteuzi ule, Hta hayati jpm akutanua wigo wa fikra za kiutendaji au labda kushirikisha ushaur japo kwa makamu juu ya uteuzi ule , tukiangalia leo hii rais.ssh ametengua , huyu jamaa anajiita mzalendo, mjamaa bt on the other way around ni mrafi km wengne tu na hakuna binadamu au wachache sana wenye kukataa madarak makubwa km yale kpnd cha awamu ya tano:D
 
Back
Top Bottom