Recent content by Jindal Singh

  1. Jindal Singh

    Russia imetangaza dau kwa Marubani watakao torosha ndege za F 16

    Vita Hadaa: Hapo uenda kapiga jiwe moja ndege wawili. Moja, kawatisha US 🇺🇸 wabalance uingizwaji wa F16. Pili, kama rubani akifanikiwa kuileta Russia basi watapata advantage ya kuisoma mifumo iliyopo katika ndege hizo.
  2. Jindal Singh

    Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

    Kuna baadhi ya matukio ya vifo vya viongozi yanatokea natural, mpaka pale uchunguzi utakapofanyika na kubaini sababu ya kifo. Huku kusema mara Mossad mara CIA, ni mazoea tuliojiwekea kutokana na matukio mbali mbali yaliyowahi kufanywa na mashirika mbalimbali ya kijasusi. Tusubiri majibu ya...
  3. Jindal Singh

    Je, siku ya Leo unamshahauri nini hasa Benjamin Netanyau?

    Katika siku dunia imeamka ya moto ni leo, Kila nchi ina heka heka. Kwa hapa tulipofika dunia inahitaji vita ili kila kitu kikae mahala pake.
  4. Jindal Singh

    Waziri wa Ulinzi wa UK: Kipindi cha mvuno wa amani kimeisha, nchi zijipange kwa vita zaidi

    Soma alama za nyakati. Sisemi ni lini ila dalili zinaonyesha hali ipo hivyo. America amepoteza ushawishi ki ulimwengu.
  5. Jindal Singh

    Waziri wa Ulinzi wa UK: Kipindi cha mvuno wa amani kimeisha, nchi zijipange kwa vita zaidi

    Historia inaonyesha ili super power izaliwe lazima pawepo na vita ya dunia na bwana mkubwa atakaekuwa imara kijeshi na ki uchumi wakati wa vita vikiendelea huyu ndie atakaekuwa kiongozi wa dunia. Hali inaonyesha kuna taifa linatakakuchomoza kuwa superpower. Marekani inajaribu kutunisha msuli ili...
  6. Jindal Singh

    Vizinga vinawapotezea wanawake potential husbands. Hela uliyoitafuta kwa jasho inauma sana

    Hasa wanawake wa mijini wameathirika na maisha ya kimitandao na kutamani maisha ya watu waliofanikiwa.
  7. Jindal Singh

    Kila nachowaza au kukiona ktk taswira lazima kitokee, je hali hii inatokana na nini?

    Shule walitufundisha kuwa historia ni somo la maisha ya nyuma ambalo pia umuhimu wake hutusaidia kutabiri maisha, ya mbele, ukiwa mzuri sana katika historia lazima uwe mbashiri mmoja mzuri sana. Ukiwa empty kichwani kamwe huwezi hisi chochote wala kuwa na hisia na wala huwezi ku predict...
  8. Jindal Singh

    KERO YA VIPAZA SAUTI MISIKITINI NA MAKANISANI

    Ni kweli kabisa ila kuna vitu vyengine ni UNTOUCHABLE. Ukichezea dini hakuna mtu atakaekupenda katika maisha hata wasio na dini pia watakuchukia (wengine wana maslahi nazo ya kidunia). Dini ni nature ya ulimwengu ambayo kamwe huwezi kuipitia kwa mbele na kuikinga, we tulia tu na uvumilie tu...
  9. Jindal Singh

    Haya Mapete makubwa yenye kito kinang'aa maana yake ni nini?

    Hakuna kingine ila ni hofu tu ya maisha tu!
  10. Jindal Singh

    Weka hapa maswali ya msingi ili waadishi wa habari kwenye Press ya leo wakamuulize IGP

    Kamwe hutanielewa, ile yeye akiulizwa lazima ataelewa tu!
  11. Jindal Singh

    Weka hapa maswali ya msingi ili waadishi wa habari kwenye Press ya leo wakamuulize IGP

    Naomba waandishi wa habari wamuulize kuwa "Umejipanga vipi siku utakayo kutana na Mwenyezi Mungu" mkijibiwa kwa ufasaha nitagini.
  12. Jindal Singh

    Ulishawahi kulishwa matango pori wakati unaumwa, tukutane hapa.

    Jamani kuna watu waongo kweli duniani, utakuta mtu anaumwa halafu anatoka mtu mwengine anakwambia eti Jaribu kuchemsha bunda la mpapai utapona. Kuna jamaa mmoja nilimkuta akichemsha majani ya nanasi kaambiwa kuwa ni dawa ya kibofu. Na wengine huambiwa kuwa ukichemsha mbao zile za 2×2 za...
Back
Top Bottom