Recent content by JimmyKB

  1. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Weird history

    Kwa hiyo mzee MshanaJr kutokana na hadithi hizo hapo juu mbili Kisha hii ya huyu kunguru, sisi watanganyika ndiyo huyu kunguru? Dah! Kwa hiyo hatutasahau sie na vizazi vyetu? Hatari sana
  2. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Hata kama Kuna maajabu kwenye vitabu vya kiroho hii ni uongo mtupu na ni hadithi za kutungwa kwa baadhi ya mambo. Nuhu alishaondoka Duniani zaidi ya miaka 300 huko kabla hata Abraham hajazaliwa, aliwezaje kumlea?!
  3. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Tuna safari ndefu ngumu na ya hatari watanganyika kujinasua toka kwenye makucha ya wana mtandao

    Sasa hii mbona haichezi mzee Mshana?
  4. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kutofautisha Neno Upare na sehemu nyingine

    Kwanini mkuu?
  5. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Kushindwa kutofautisha Neno Upare na sehemu nyingine

    Aisee kumbe! Nilikuwa sijui kama Same ni kubwa hivyo! Mbona nasikia wagweno hawataki kuitwa wao ni wapate?
  6. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Kwanini Pro West humu jukwaani wengi wanamchukia Captain Ibrahim Traore?

    Hatua Kubwa sana hiyo!
  7. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Wamefanikiwa kumchafua mpaka hauziki tena! Je wana plan B? Ni ipi?

    Ukisoma vitabu vingi unaunganisha dots then unapata kile kamili kilichofichwa katika vipande vidogo vidogo
  8. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Wamefanikiwa kumchafua mpaka hauziki tena! Je wana plan B? Ni ipi?

    Kiongozi kwani huyu Ni Ke?
  9. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Waislam wenye asili ya Zanzibar huwaona wakristo makafiri na maadui tofauti na waislam wabara ambao huwaona wakristo ni wenzao

    Kuielewa hii inahitaji mtu aliyekomaa kifikra. Kuna yule shekh Hamza alikuwa akihubiri mambo ya ukristo akaja kubananishwa na mashekh wenziye. Wale mashekh wakamwabia wewe unawaimarisha Hao baladala ya kuimarisha wenzetu! Haiingii akilini
  10. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Ukiona mtu ananunua papai ujue hana nyumba

    Inatokea mtu amejenga mbali na shughuli zake za kujitafutia kipato Kwa hiyo anaamua kupangisha na yeye kukaa mjini karibu na kazini kwake
  11. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya JamiiAfrica ni usiri, kama utaondolewa utapunguza ufanisi wake

    Halitumii bundle nyingi, Ila ni vizuri kukaboreshwa kuwepo namna ya kutranslet lugha mbali mbali kuongeza ufanisi
  12. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

    Though sipendagi siasa Ila wacha nijiunge walau kwenye Uzi huu Kwa sababu tu ya hii comment yako
  13. JimmyKB

    JamiiForums Tanzania Si mapenzi, bali ni clearance sale ya Uroda!

    Hii shughuli Ina mambo mengi kuliko wengi wanavyodhani, Kuna kila aina ya watu humu nk
Back
Top Bottom