katika sintofahamu imejitokeza pia manispaa ya sumbawanga ktk uchaguz wa wabunge na madiwan kula za maoni baada ya mgombea mmoja na wananchi kufanya fujo ofisi za ccm wilaya baada ya kukatwa jina mapema kabsa.
hiyo imekua ni kama taratibu za sasa baada ya mtu kushindwa kwamba ni dhahir
natumain uwepo wa lowasa ukawa ktk chadema itakua chachu ya mabadiliko nchini hata kama yatazuka meng lkn ni moja kati ya siasa za siasa dunian kote.
peoples power ✌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.