Brother pole. Mm nakushauri kama ifuatavyo; andaa muda mzuri wa mazumgumzo na mkeo, ninaposema "muda mzuri" ninamaanisha nyote muwe katika mood ya kuzungumzia mambo ua familia Waweza mtoa hata out. Sasa hapo kuwa muwazi kuhusu wasiwasi wako kuhusu yeye ku- devote muda mwingi kwa kazi yake na...
Ndugu , kwanza kabisa pole sana na maswahibu ya unyonyaji wa hao maboss zako wahindi.
Pili, ninakushauri usithubutu kuacha hiyo kazi kwani huo mshahara unaoupata si haba sana. Unachotakiwa kufanya ni kuitatua hiyo changamoto inayokukabili ya kushindwa kufaidi matunda ya jasho lako. Changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.