Recent content by jimmi2024

  1. J

    JamiiForums Tanzania Matofali yanayofyatuliwa huku mitaani yana ubora mdogo sana

    Kama hayana ubora huja lazimishwa kununua mzee,nunua cement +mchanga=fyatua kwa ratio unayotka,kuna mwamba mmoja nilimpigia saluti yeye kwenye mfuko alikua anatoa tofari 15 tu
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kumfukuza kwako kijana aliyefikia umri wa kujitegemea

    Nazani logic ya jamaa ni kumfanya kijana aanze kujitegemea na kutafuta kipato kwa akili zake ili siku moja mzee akikwama apate msaada
  3. J

    JamiiForums Tanzania Nimetengwa na ukoo baada ya kuachana na salamu za Kisukuma

    hahahaaaa,just colonization[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nimetengwa na ukoo baada ya kuachana na salamu za Kisukuma

    Dini ni utapeli tu wa wazungu kuwahadaa na kuwaibia waafrica rasilimali zao,ndo maana tunaambiwa tusiende kufagua kwenye kabulibza baba na babu zetu eti ni mizimu ila tunatakiwa kuwaabudu kina Isack n.k etibwao sijui ni nani [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  5. J

    JamiiForums Tanzania Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

    2.0
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nataka nikope benki niwekeze UTT

    Hisabati ulipata ngapi!!?????
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mkeka wa mishahara mpya ya July, 2025 na makato yake bado haujatoka kama miaka ya nyuma?

    Hilo la kuongezewa ten linajulikana sana
  8. J

    JamiiForums Tanzania Nalipiaje UTT kwa njia ya simu mbona naitafuta siipati

    Mmmmhhh,hatari mi niko Faida fund makato kwa 10 au 12 makato ninkama 100 hvi
  9. J

    JamiiForums Tanzania Kampuni za Bima zinasaidia au magumashi? Umewahi kufidiwa pesa, kutengenezewa au kubadilishiwa gari baada ya ajali

    Bima ni njia tu ya Sirikali kupata pesa,ukitaka kujua hilo ugua uende hospital ya umma uone ilivyo shida kupata huduma nzuri tofauti na mwenye cash[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya walimu hayaleti tija ya Moja kwa moja Kwenye Elimu

    yaani iandaliwe video,harafu mimi mwalimu nianze kukomaa na video,mda ambao natakiwa kuuza vitunguu baada ya kutoka shule ili kujiongezea kipato,are you serious bro!!!???????
  11. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu na Tamisemi ingilieni kati baadhi ya shule zimegoma kutoa likizo ndefu kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  12. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu na Tamisemi ingilieni kati baadhi ya shule zimegoma kutoa likizo ndefu kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu

    vipibwenye likizo zainkisheria,inamaana hao walimu mda wote wawe wanawaza tu kufundisha bila hta kwenda mahali kujifunza vyanzo vingine vya kujiongezea kipato!???
  13. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu na Tamisemi ingilieni kati baadhi ya shule zimegoma kutoa likizo ndefu kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu

    Ndo maana walimu tunatukanwa kwa kuonekana wajinga, serikali imeshapanga likizo walimu na wanafunzi mpate kupumzika ila nyie tena mnakataza likizo eti mkae kufundisha,nini maana ya kupumzika sasa.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kopesha ushangazwe

    Nawaz kumnyandulia mke mden wangu maana kanisumbua sana
  15. J

    JamiiForums Tanzania Payments system zinasumbua

    Luku inasumbua kununua kwa mitandao yote
Back
Top Bottom