Recent content by Jimena

  1. Jimena

    Nile chakula gani tofauti na wali na ugali kwa muda wa wiki mbili mfulizo?

    Hiyo sio menu yangu, mtu alitaka ratiba ambayo haitahusisha wali na ugali na nikamjibu, wala hamna mahala niliposema hiyo ni menu yangu
  2. Jimena

    Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

    Ni kaka yangu na tunaheshimiana, kwahiyo hata sasa nikienda bongo pia ntamtafuta
  3. Jimena

    Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

    Watu wa Northgatan huwa hatuna baya🥂🥂🥂
  4. Jimena

    Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa?

    Hizo nyama hapo ni chakula kamili, kula zenyewe tu achana na Ugali
  5. Jimena

    Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk

    Nadhani huo msemo ulikuwepo tu ila yeye alipoutumia ukatrend
  6. Jimena

    Member wa JF “Tumia Akili” alitabiri kifo cha kiongozi fulani wa juu na kikatokeaa kweli. Mpaka leo naendelea kushangaa!!

    U wapi uzi uliotabiri hicho kifo? Inabidi tuupitle ili tuweze kujiridhisha.
  7. Jimena

    FURSA nchini COMORO: Mfanya biashara, soma hapa

    Hii kitu connection ndio inawacost ndugu zangu, muwe mnaenda front wenyewe,
  8. Jimena

    Njia gani nzuri ya kwenda Ulaya kusaka maisha na mwishowe kupata vibali vya makazi?

    Unataka kwenda nchi gani? Mialiko huwa inauzwa na mingine ni bure kabisa, sio ya kikanisa tu hata ukipata ile ya matamasha mfano ya AIDS au LGBT unaweza kuyatumia kuendea huko upendako, kwasasa unaweza kuangalia mpango wa kombe la dunia, unanunua tiketi chagua mechi inayochezewa Canada (hii ni...
  9. Jimena

    Hizi ndiyo njia rahisi zaidi kuingia Marekani, Ulaya na Asia

    Hii inahitaji uvumilivu na muda ila ni njia ambayo haihitaji gharama kubwa, na mnaweza kusafiri hadi na majirani
  10. Jimena

    Walowahi kusoma, kufanya kazi au kuishi Ulaya na viunga vyake naombe kuyafahamu mambo haya

    😅😅😅😅 Mbona kama umeanza na manyanyaso?
  11. Jimena

    Mwezi wa saba naenda Mayotte, wenyeji nisaidieni

    Ngoja nikupe njia rahisi, mie ndugu yangu alipitia mayotte na alikuwa na mtoto wa miaka 3 we mwenyewe fikiria mdada wa miaka 28 na mtoto mdogo amekaza na akasafiri, kwahiyo naamini hata wewe pia unaweza ukiamua. Usipitie Zanzibar wala wapi pitia mtwara maana ndio njia nyepesi, Pale Mtwara...
  12. Jimena

    FURSA nchini COMORO: Mfanya biashara, soma hapa

    Hapana haifiki euro 2500, Nauli ni laki 5 kutoka mtwara mpaka Anjuani, then euro 500-1000 kutoka Anjuani mpaka mayotte
  13. Jimena

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Mbona mi kwetu ni Tanga (nimeenda mara nyingi sana kumsalimu bibi yangu wakato alipokuwa hai)na sijawahi kuuona huo ulimwengu halisi wa kiroho?
Back
Top Bottom