Pole sana mwana JF mwenzagu, chadema wana jumla ya kanda kumi(10) Tanzania bara kanda 8 ambazo ni 1.kanda maalumu ya pwani yenye mikoa ya pwani, kinondoni, temeke na ilala 2. Kanda ya kaskazini ni tanga, Kilimanjaro, arusha na manyara, 3 kanda ya kati ni morogoro, Dodoma na singida, 4. Kanda ya...