Recent content by jidula

  1. J

    Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    Katika maongezi na makada kadhaa wa Chadema waliookoka Jijini Arusha siku iliyofuatia mlipuko wa bomu, walionyesha hofu kubwa kwamba huenda chama chao kinaandamwa na ghadhabu ya Mungu. Sababu walizitoa katika Biblia Takatifu, ambamo Petro alipofuta...
  2. J

    Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    USHINDI KWA KURA ZA HURUMA (SYMPATHY VOTE) Hisia za wengi jijini Arusha zilisikika zikiwatuhumu viongozi wa chama cha Chadema kuhusika na tukio la ulipuaji wa lile bomu, kama mkakati ambao ungeelekeza akili za wapiga kura wote kuwalaani maadui wote wa wa Chadema...
  3. J

    Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    BOMU HALIKUMKUSUDIA FREEMAN MBOWE Kama angekusudiwa Freeman Mbowe, bomu lingeelekezwa jukwaani alipokuwa, na kumteketeza yeye pamoja na waliokuwa naye mahali hapo, tena lisingengoja amalize kwanza kuhutubia na kuondoka hata hatua moja. Bomu lilielekezwa...
  4. J

    P.Funk majani amekataza nyimbo za Ngwair kupigwa CloudsFm

    Ngwea hakuwa katika good terms na Clouds media, ndio sababu alipotezwa muda mrefu na hao manyang'au wa muziki. Walimdidimiza Ngwea ambaye kazi zake zinatangenezwa na P Funk na kuwanyanyua THT na producer Lamar, baada ya Ngwea kulalamika kubaniwa. Iweje wampende leo baada ya kutangulia mbele...
  5. J

    Utaratibu wa NACTE/TCU

    Mimi nimejaza nakufanikiwa vizuri isipokuwa kuna tatizo kwenye format ya index number, usitumie "/" tumia "-" halafu pia punguza zeros mfano u001/000023 unaweza andika tu u001-023
  6. J

    Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete afanya kikao na wabunge wa CCM, leo mjini Dodoma

    KING COBRA mama yako mbona anafuga kucha zaidi ya hizo au na yeye malaya ?
  7. J

    Majimbo haya njia nyeupe kwa CHADEMA

    Makongo juu hivi Mdee amepeleka maji na barabara?du bora Ritha Mlaki
  8. J

    JWTZ kupiga doria barabarani: Mwamunyange ameenda mbali mno...

    kaka,mimi naona sawa kwa kwa sababu; 1. kutokuwepo kwa mkuu wa nchi au waziri mkuu haimanishi hakuna serikali au maamuzi magumu hayafanyiki.je ikiwa nchi inataka kupinduliwa na hao hawapo jeshi haliingii? 2.jwtz walichofanya si kukamata na kutuliza ghasia, bali polisi walikuwa wanakamata na...
  9. J

    Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

    ooh,kumbe hii thread imeanzishwa na 'kafiribangi'...!
  10. J

    Membe, zoka, mwambene, mwanahalisi na kutekwa kwa dk. Ulimboka

    du,hapa kuunganisha analysis yako kazi! hii kama udaku vile.
  11. J

    Mh. Livingstone Lusinde Under Microscope?

    du,ukiona heading kama taarifa kumbe ni swali!
  12. J

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    mimi ni mkazi wa Makongo Juu, na mbunge wangu ni Halima Mdee wa CHADEMA. Kero kubwa ambazo mbunge anazijua ila napenda kumkumbusha ni: -hakuna maji ya bomba,sijawahi kuona maji tangu nizaliwe. -barabara ni mbovu,haikarabatiwi,sijui tumekosa nini, tunajiona kama watoto wa kambo! Mambo haya naomba...
Back
Top Bottom