Recent content by Jidondofila

  1. Jidondofila

    Tunajifunza nini juu ya kesi ya Prof. Assad?

    Jina unalotumia ndio linalifanya uwe zuzu kwa kiwango cha juu..hukumu ya hao majaji bado imekaa kisiasa sana.. "Kama kuondolewa kwa Assad kulikiuaka katiba iweje Uteuzi wa "Kichere uwe halali"? Tuna wanasheria waoga na wahovyo mnoo ndani ya nchi hii..CAG anayekuwa kwa vipindi na sio mfalme...
  2. Jidondofila

    Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

    Unavyoshupaa kama wewe ndio umeitoa hio report.serikali imekanusha haijatoa report..hayo ni Matango pori ya zito na tweet zake
  3. Jidondofila

    Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

    Wamelishwa matango pori na zito..report ya serikali haijatoka..ufipa na wajinga wenzao wameingia kichwa kichwa.lini report ikazungumzia ubishi wa nani alifungua mlango. Yaani hii nchi ina wanasiasa wajinga kupita maelezo
  4. Jidondofila

    Wakazi wa Kigoma wainuliwa kiuchumi

    Unataka je Kigoma 250B. Arusha 10B Funguka
  5. Jidondofila

    Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

    Ujinga wk ni kuonea huruma..kwakuwa wewe nimpumbavu wacha tukujibu kipumbavu tu. Damu inayotoka kwa mama yako ukeni ni matokeo ya nini?
  6. Jidondofila

    Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

    Mama yako hatoki Damu kila mwezi..? Kamuulize kwanini anavaa always. Unaleta ukhayawani hali ya kuwa unalifahamu jambo hili
  7. Jidondofila

    Ni muda sahihi CHADEMA na waliokuwa wanamtukana Hayati Magufuli na Ndugai juu ya wabunge 19 wa CHADEMA kuomba radhi na kutubu

    Wewe ndio huna Akili Kama rufaa ulikua hajasikilizwa VIP spika awafukuze? Na wakienda mahakamani wataendelea kuwa wabunge tu mpaka utaratibu huu wa kisheria ukamilike.
  8. Jidondofila

    Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

    Uelewa wako upo chini mnoo...familia imefuatilia jeshi limekanusha! Sababu gani tena unataka zaidi ya yeye kuwaanika wanaopanga njama za Kumpoteza.
  9. Jidondofila

    Ukifuatilia akaunti ya Peter Madeleka Twitter; utabaini ni mtu mwenye kisasi na asiyefaa kupewa madaraka yoyote

    Sema ukweli maana nakuona unamshambulia wakili bila ushahidi wowote...alikuwepo ndani analijua jeshi la polisi lilivyo...mbona unamshambulia kama una maslahi na Kamishna wa uhamiaji? Ni ndugu yako au mnatoka kijiji kimoja? Ametekwa sasa kile alichokiongea ...Umekiona... Kutetea Ni kosa,? Wivu...
  10. Jidondofila

    Siku nne za uumbaji zilikuwa zinapatikanaje kabla ya kuumbwa jua?

    Ushahidi mzee...mbona kama unapayuka
  11. Jidondofila

    Tulia Ackson aache upotoshaji, Kiti cha Naibu Spika kiko wazi kikatiba

    P nakuheshimu lakini kwa kuunga kwako hoja ya Yerriko nimesikitika mnoo. Naomba kifungu chochote cha sheria kilichotungwa na bunge kinachomzuia naibu wa spika kuwa spika? Kama hakuna huo wivu wa nini? Pili...Kama imewezekana kwa makamu wa rais kuwa Rais na makamu kwa wakati mmoja...vipi...
  12. Jidondofila

    Tulia Ackson aache upotoshaji, Kiti cha Naibu Spika kiko wazi kikatiba

    Ndugu yeriko Tafsiri ya vifungu vya katiba unavitoa kichwani mwako au kuna ndugu kakuambia...naomba unijibu maswali yangu kama ifuatavyo, 1.Rais anapofariki bila kigugumizi makamu wa raisi ndio anachukua nafasi yake.kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tz.swali ni Je Makamu wa rais...
  13. Jidondofila

    Tulia Ackson atoa msimamo wa Bunge, asema Rais ni Mkuu wa Nchi na ana mambo yote!

    Punguza upungu basi.huoni maandishi..kwani Picha huioni.Hivi Maneno yanayotamkwa kwa mujibu wa "Mila ,Desturi na Taratibu" huwa hamyaelewi kabisaa....
Back
Top Bottom