Jicho la Tanzania ni Taasisi mahususi kwaajili ya watanzania wazalendo walioko ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wenye nia ya dhati na thabiti ya Kutoa elimu ya Uraia, Utawala bora, Utunzaji wa Mazingira, Ukatili wa kijinsia, Afya, Ujasiriamali, Tehama, maadili na uzalendo kwa jamii na...