Akili mgando ndio tatizo, mtu lile la jana liliompa kula ndio hilo kamaliza ,haijalishi imetoka wapi, na inajenga au inabomoa, akipata mtu wa kumla hela kwa figisu basi ndio ana akili kubwa na ndo mwisho wa kufikiri, ukiwa TRA utaonekana mbunifu sana na umeshagundua kila kitu.