Recent content by Jibala

  1. J

    Ufaransa: Majengo na mabasi yachomwa baada ya kijana mweusi kuuawa na polisi

    Alisema Gadafi kuwaambia wazungu mnayotufanyia sisi, siku za mbele yatahamia kwenu, na haya ndio yameanza kujitokeza. pia fikiria wazungu wanapotengeza game application kwenye simu kwa watoto wanafundisha nini.
  2. J

    Kama uko smart kichwani, usiishi Tanzania. Nenda kaishi moja kati ya hizi nchi 10 utanishukuru baadaye

    Kinyume kama smart ishi tz kuna fursa ya mbumbumbu wengi kuwatumia.
  3. J

    Siku nikifanikiwa kuwa Rais wa Tanzania; Mafisadi na familia zao zinazoneemeka kwa ufisadi, wataula wa chuya

    Itabidi ujenge jela kubwa na ya kuweza kuwafungwa nusu ya wa Tanzania.
  4. J

    Kuna Waislamu wanachafua Uislam

    Hii sio kweli, na kama kweli ni maana ya kukubali population ya waislam ni kubwa kuliko dini nyingne.
  5. J

    Burundi yatuma kikosi cha waokoaji Uturuki, nimejifunza kutoa ni moyo

    You nail it!!!, ndio agenda ya wizi basi
  6. J

    Marekani yapaswa kuacha wasiwasi wa kupita kiasi kuhusu China

    C wangetumia sindano tu kulitumbua ya nini F-16
  7. J

    Niulize chochote kinachohusu 'clearing' za mizigo bandarini

    Invoice ina maana orodha ya bei ya kununulia au?
  8. J

    Niulize chochote kinachohusu 'clearing' za mizigo bandarini

    Mkuu kama vitu ni used machine spare part navyo vinahitaji documents gani muhimu
  9. J

    Hii ndiyo siri ya mafanikio

    Changanya halali na haramu utwange maji kwenye kinu.
  10. J

    Usafiri wa ndege TZ: Wahabeshi/Ethiopian Airlines wamewezaje, tukashindwa sisi?

    Kila mmoja anajiuliza hivi nini TZ inachojivunia zaidi ya hii JF, tukiwemo JF tunajua fika nini kilichomo ndani ya akili zenu, wenyewe kwa wenyewe maadui, sasa huyo customer tutam serve vipi?
  11. J

    Ufugaji wa ndege raha sana

    Vipi kuhusu kibali cha kufugia maana bongo? mtihani mingi.
  12. J

    Marco Van Basten amponda Messi na kudai ni mchezaji wa kawaida sana

    Ki uchezaji Pele ataendelea kutrend daima dumu, zungumzieni uchezaji sio wivu au wakati.
Back
Top Bottom