Recent content by Jhpiego

  1. J

    Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

    Kiukweli watu wengi hawajui kilichotokea,ila hata TAL anajua kilichotokea pale............ Ila mtawasema vibaya hawa COV 19,vipi nikisema walitekwa?
  2. J

    Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike

    Mkuu ina maana kama ni mnene tu na nyama nyama tutamuitaje? Msaada Please
  3. J

    Biashara ya madini ya shaba

    Karibu PM mkuu
  4. J

    Kwanini wanaume wanawachukia sana wanawake?

    Mkuu huu utafuti ulifanya lini mpaka ukaja na hitimisho kama hili? Research is Science ujue
  5. J

    PreGE2025 Wasanii kujiingiza kwenye siasa na kuwa machawa ipi faida yao kama nao wanashiriki kuingiza wananchi shimoni?

    Every Roman Ceasar must feed his Gradiators who can entertain/disruct the Mass............ So Mama anajua anafanya nini
  6. J

    Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Ndivyo inavyokua katika hizi Taasisi ambazo hua naomba na kufanya nazo kazi............
  7. J

    Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Mfano kuna taasisi moja nimeomba kazi muda si mrefu,wao wanahitaji only CV....... Yaani hakuna Covering letter wala nini
  8. J

    Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Mkuu sio kila Taasisi ina hayo maelekezo uloandika hapo........ Nshafanya kazi na Taasisi Kibao ambazo hata hawakuwahi kuona hata vyeti vyangu so kila sehemu wana utaratibu wa kupata wanafanyakazi
  9. J

    PreGE2025 Dar es Salaam: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Mkuu hata nimeshituka sana kwa hilli..... Ila elimu za hawa wanasiasa ni kanjanja sana
  10. J

    Lissu ataongozaje chama wakati anaishi Ubelgiji, na familia yake yote ipo huko

    Hebu soma majibu ya jamaa hapo juu utapata majibu mkuu na inaonekana unaendeshwa na hisia zaidi kuliko utashi,hebu msome TAL na umfuatilie vizuri
Back
Top Bottom